Yupo wapi bingwa wa ulozi?

Yupo wapi bingwa wa ulozi?

Atakuwa Yuko China, alitangaza ofa ya kwenda na wafanyabiashara wenye mitaji midogo
Inawezekana, na mbaya zaidi ni ile ndege aliyotumia kwenda alilipa nauli ya to & fro sasa ndege imekwama Malaysia anaisubiria itengenezwe. :4WeirdJam:
 
kashikwa na kibinti cha miaka 18 kinampa mavitu kachanganyikiwa!,mganga kasahau tungule hirizi zimeshindwa hekaheka za kitoto mahaba!..😂
 
Kaenda kutambika kule huwa wanavaa kaniki nyeusi tu simu haziruhusiwi
 
Back
Top Bottom