King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
alishangazaga sana alipojitangaza ni muathirika kumbe muongo
sijui lengo lake lilikuwa nini hasa, manake sikumuelewaga!
Nadhani alilipwa na gazeti la udaku ili liuzike pia umaarufu kwa wakati ule
Yeah ilikuwa 2001 hivi ndio story ilitoka kwenye gazeti la ijumaa/kiu front page kama si kweli basi usanii wa shigongo ulianza zamani sana au inawezekana ikawa kweli ameathirika ni posible kuwa na ngoma kwa zaidi ya 20yrs!!