jiwe gizani
JF-Expert Member
- May 25, 2021
- 380
- 507
Ndo wapi uko mkuuNilisikia yupo Ushetu.
Jirani na KahamaNdo wapi uko mkuu
Ahaa kumbe ni doctor jamaaJamaa yupo pande za kahama, ni daktari huko so kuchanganya muziki na kazi nadhani imekuwa ngumu ameamua kukaza kwenye udaktari japo anagusagusa kidogo muziki, kipindi Cha uchaguzi wa uraisi, ubunge na madiwani alichukua fomu sema walimpiga chini
Bado yupo bana jamaa [emoji3]Kama ni muda sana, inawezekana alisha rest in peace, maisha mafupi sana siku hizi ni hii Corona...
Kajaribu mdundo.commwenye wimbo wake wa 'mganga wa mtoni' anisaidie site nayoweza kuupata
Hawezi kusikika kwasababu anaimba sana PUMBA lakini huwa anajichukulia ana akili kubwa kinyama.Huyu Mwana HipHop alitamba sana na ngoma kama Matusi, Watu Buu, Nauza Kura Yangu
Muda sana sijamskia kwenye gemu kwa mwenye taarifa zake wadau au ameacha mziki?
Alafu ushamba mwingiiiHawezi kusikika kwasababu anaimba sana PUMBA lakini huwa anajichukulia ana akili kubwa kinyama.
Yawezekana huwa wanadanganyana na Nikki wa Pili.Alafu ushamba mwingiii
Hahahahaha...hilo ghotofa likiisha tutakomaYawezekana huwa wanadanganyana na Nikki wa Pili.
Na yeye huwa anajichukulia ana akili kubwa sanaš¤£
Ingawa Nikki wa Pili katusua, anajenga ghorofa Salasala, ingawa muziki wake ni tiamaji tia maji sana, sijui pesa kapata wapi.
Bonta anaimba pumba???? upo siriaz mzee ama umeongea masihara tu.Hawezi kusikika kwasababu anaimba sana PUMBA lakini huwa anajichukulia ana akili kubwa kinyama.
Roma anaimba matukio. Bonta ni tofauti.Bonta anaimba pumba???? upo siriaz mzee ama umeongea masihara tu.
Ukielewa uimbaji wa Roma utaelewa wa Bonta pia.
Bonta mbona anabamba sana pande za Katoro na Ushirombo wazee [emoji23][emoji23][emoji23]Bonta anaimba pumba???? upo siriaz mzee ama umeongea masihara tu.
Ukielewa uimbaji wa Roma utaelewa wa Bonta pia.