jiwe gizani
JF-Expert Member
- May 25, 2021
- 380
- 507
Huyu Mwana HipHop alitamba sana na ngoma kama Matusi, Watu Buu, Nauza Kura Yangu.
Muda sana sijamsikia kwenye gemu kwa mwenye taarifa zake wadau au ameacha mziki?
Muda sana sijamsikia kwenye gemu kwa mwenye taarifa zake wadau au ameacha mziki?