Yupo wapi CAZ-T mwana wa Komba

Yupo wapi CAZ-T mwana wa Komba

Ndio hapa
1552740967327.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

  • 1552740950740.jpeg
    1552740950740.jpeg
    61.6 KB · Views: 35
Yupo anapiga biashara zake za Lodge, ndo mmiliki wa ANGWISA LODGE zote.. wakazi wa Ukonga nadhani wanazifahamu
Kumbe!Niliwahi ingiza mchepuko hii kona,inayotazama makaburi ya Mombasa.
 
basi tukaagiza masafa pale na kitimoto,tulianza kupata moja baridi moja moto, wakati tunaendelea kidogo tu huyooo akatokea Mzee Urassa,,na ile Land Kruza yake new model ya kisasa power engine 2.4 filling system ya kisasa unaambiwa, ni automatic kuanzia kiti hadi vitasa, basi alikua na laki 3 mfukoni, akajishika kiunoni akatuangalia akatudharau akaingiza mkono mfukoni akatoa pesa akaweka pale mezani kisha akaenda chooni, sisi basi tukaanza kulewa, tukalewa tukalewa Yesu wangu , tulilewa tulilewa tulilewa tumelewa wakaanza kuongezeka ndugu zetu kutoka sehemu mbalimbali za kilimanjaro, marangu, machame,uru,,kishimundu, kibosho, mwika vunjo, mpaka kiboroloni unaambiwa tarakea mpaka huko sehemu za rombo wote pale wakawa wamemiminika,masawe alikuepo, mariale alikuepo, shirima alikuepo, mange alikuepo, lema alikuepo, ndossi alikuepo, mtei alikuepo, asei alikuepo, mama priska alikuepo,,mama manka alikuepo, minja alikuepo, kilua alikuepo, na huyu mtoto anakaa mtaa wa pili nani huyu...chuwa, haha eti chuwa nae alikuepo
Huu wimbo naupataje mkuu ? Hahaha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
zamani ulikuwepo muziki ila siku hizi ni promo tu plus social networks zinakuza mambo..

unazikumbuka enzi za ray c ambapo safari za nje especially china au unazikumbuka mbwembwe za Tid kwenda mbele au huujui wimbo wake wa mtanzania... unazikumbuka tambo za lady jay dee katika tuzo za kora na kolabo zake za south plus wimbo wa lugha 7 distance ambao uliwashangaza watu... unamjua muasisi wa video za mbele mnyama Ay na king mwenyewe wa crack C Pwaa ambao nominations za mbele ilikuwa kawaida.....

unamjua dada renee lamira na unamkumbuka kijana bushoke alieiweka EA kiganjani na hapo ujamuweka NICE..

kila zama na kitabu chake kwa kweli ...hao wote hawakutumia pongolo za nigeria wala international collaboz... ilikuwa pure bongo flava na inabidi uwape heshima yao

WCB ni new age thing na lazma tukubali lakini haibadili umuhimu wa watu waliopita
Atajulia wapi wakati anajua mziki umeanza wakati Diamond anatoka, hawa wasanii na ma producer wa kipindi hiki wanatumia computer kufanys kila kitu ukiimba ukikosea unafuta, hawajui kupiga kinanda yaan beat zinatengenezwa simple tu, huwez nikuta nasikiliza tetema lakin sikiliza ile beat ya mwanafa alikufa kwa ngoma producer gani wa saa hiv atatengeneza hivyo vitu
 
mpaka siku tunasema buriani.Ilikua jumapili nikamuona rafaeli amekaa ni juu ya nini, ni juu ya baiskeli, namuliza anaenda wapi, kanambia anaenda feli huko feli ni kwanani, ni kwa lile jitu tapeli,,asa utamuona wapi atakua kwenye meli ndio wapi ndio huko huko feli, tena nikamuona huyo huyo rafaeli anacheza na nani, anacheza na yule dada mary,,namuliza rafaeli hapa ndio feli,,anasema sio hivyo mwenzio unajua nimeharibikiwa na ile baiskeli nategemea kwenda kule ostabei nako huko ntamkuta braza Mtei yeye ndie atakayenipunguzia bei ya spea za baiskeli
Mashair yanachekesha sana[emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kesho yake nikatoka moja kwa moja kwa rafaeli nikamkuta nyumbani anasikiliza CD ya R Keli, nikamuliza rafaeli una CD ya Makaveli akaniambia na makaveli, r keli na maria keli, sisi hatukukaa tukatoka moja kwa moja haooooo mpaka kwenye baa, unaambiwa watu walikua wamejaa nazo baiskeli na motokaa,
[emoji119][emoji119][emoji119]
 
basi tukaagiza masafa pale na kitimoto,tulianza kupata moja baridi moja moto, wakati tunaendelea kidogo tu huyooo akatokea Mzee Urassa,,na ile Land Kruza yake new model ya kisasa power engine 2.4 filling system ya kisasa unaambiwa, ni automatic kuanzia kiti hadi vitasa, basi alikua na laki 3 mfukoni, akajishika kiunoni akatuangalia akatudharau akaingiza mkono mfukoni akatoa pesa akaweka pale mezani kisha akaenda chooni, sisi basi tukaanza kulewa, tukalewa tukalewa Yesu wangu , tulilewa tulilewa tulilewa tumelewa wakaanza kuongezeka ndugu zetu kutoka sehemu mbalimbali za kilimanjaro, marangu, machame,uru,,kishimundu, kibosho, mwika vunjo, mpaka kiboroloni unaambiwa tarakea mpaka huko sehemu za rombo wote pale wakawa wamemiminika,masawe alikuepo, mariale alikuepo, shirima alikuepo, mange alikuepo, lema alikuepo, ndossi alikuepo, mtei alikuepo, asei alikuepo, mama priska alikuepo,,mama manka alikuepo, minja alikuepo, kilua alikuepo, na huyu mtoto anakaa mtaa wa pili nani huyu...chuwa, haha eti chuwa nae alikuepo
[emoji119][emoji119][emoji119][emoji1690][emoji1690]
 
Owner wa hizo lodges unamjua vizuri au unamjua kupitia vijiwe vya kahawa???
Mara nyingi watu wa nje ndo huwa wanajua Mali ya mtu na alipozitoa kuliko hata mwenyewe! Haya yule dada ake alikuja akakusimlia kuwa izo Mali ni zake??? Na uthibitisho akakupa
 
Habari zenu wadau wa burudani

Jamani Leo nimemkumbuka uyu kijana wa kingoni Caz T mwana wa komba aliyesumbua miaka ya 2000 mpaka 2002 na vibao vyake kama one more chance, sister du kapika ugali mmibichi, na funga kazi wimbo nakuitaji pamoja na ablam yake iluyokuwa na nyimbi kama tuvumiliane no

Naomba kujua alipo uyu jamaa kwa sasa Mara ya mwisho niliambiwaga baada ya mauzo ya ablam ya nakuitaji alifanikiwa kujenga maeneo ya ukonga makaburini

Naulizia kwa sababu kapotea kabisa hata kwenye interview simsikii kwenye matukio mbali mbali ya burudani nk haonekani

Yupo wapi uyu jamaa

Team kiba na diamond tuachieni nafasi kidogo najua hamuwezi mjua uyu mtu
Huyu jamaa namfahamu kwa karibu sana ana dada yake anaitwa sophia alisoma na mama angu mdogo pale UDSM jamaa tukiwa nae ni mtu wa stori kibao utasema sio super star tena enzi zile anatamba japo kuwa alikuwa hapendi kufanya kaz za kijinga

Mfano kipind kile upo pale mombasa kuna kaz walipewa yy na wenzake kubeba kifusi cha mchanga kukiamisha kwanza nilishangaa uyu jamaa leo wanataka wqmbebeshe mchanga ukazuka mzozo wakawa wanadiscuss yy na wenzake mwisho wakakubaliana yy awasimamie vitu ili wasitegeane

Pia jamaa hapend kusifiwa na kushobokea aisee ukimletea shobo za kishamba huwa anakaa kimya haongei kitu tushamzoea anakuwa kachukia yy anataka mpihe sound km mpo kijiwen

Pia ana hotel yake inaitwa ANGWISA ipo mnadan kuna swimming pool na michezo mbali mbal pqmejengwa vzr sn ni moja ya sehemu nzur kwa kurefresh mind uzur ni kwamba watu sio weng na hapajulikan kivile basi ukikaa pale unakula raha tu na chakula ni kizur na sio gharama sn ila majuzi apa walinikera wamepandisha kiingilio kutoka 5000 mpaka 10000 shenz kabisa sijui ndio washakuwa maarufu ivo wameona wapandishe
 
Back
Top Bottom