Yupo wapi CAZ-T mwana wa Komba

Yupo wapi CAZ-T mwana wa Komba

aisee yule chibonge aliyeimba nae 'Nakuhitaji' alikuwa ana lips kali kwenye ile video dadeki!
 
wisanga wengure..wisanga wengure....njoo kwangu unachotaka ntakupa, NTAKUPA...hii song ilibamba kinyama
 
basi tukaagiza masafa pale na kitimoto,tulianza kupata moja baridi moja moto, wakati tunaendelea kidogo tu huyooo akatokea Mzee Urassa,,na ile Land Kruza yake new model ya kisasa power engine 2.4 filling system ya kisasa unaambiwa, ni automatic kuanzia kiti hadi vitasa, basi alikua na laki 3 mfukoni, akajishika kiunoni akatuangalia akatudharau akaingiza mkono mfukoni akatoa pesa akaweka pale mezani kisha akaenda chooni, sisi basi tukaanza kulewa, tukalewa tukalewa Yesu wangu , tulilewa tulilewa tulilewa tumelewa wakaanza kuongezeka ndugu zetu kutoka sehemu mbalimbali za kilimanjaro, marangu, machame,uru,,kishimundu, kibosho, mwika vunjo, mpaka kiboroloni unaambiwa tarakea mpaka huko sehemu za rombo wote pale wakawa wamemiminika,masawe alikuepo, mariale alikuepo, shirima alikuepo, mange alikuepo, lema alikuepo, ndossi alikuepo, mtei alikuepo, asei alikuepo, mama priska alikuepo,,mama manka alikuepo, minja alikuepo, kilua alikuepo, na huyu mtoto anakaa mtaa wa pili nani huyu...chuwa, haha eti chuwa nae alikuepo
Ni jinsi gani
Nijinsi gani tutawini maishani
 
Ni jinsi gani
Nijinsi gani tutawini maishani
mpaka siku tunasema buriani.Ilikua jumapili nikamuona rafaeli amekaa ni juu ya nini, ni juu ya baiskeli, namuliza anaenda wapi, kanambia anaenda feli huko feli ni kwanani, ni kwa lile jitu tapeli,,asa utamuona wapi atakua kwenye meli ndio wapi ndio huko huko feli, tena nikamuona huyo huyo rafaeli anacheza na nani, anacheza na yule dada mary,,namuliza rafaeli hapa ndio feli,,anasema sio hivyo mwenzio unajua nimeharibikiwa na ile baiskeli nategemea kwenda kule ostabei nako huko ntamkuta braza Mtei yeye ndie atakayenipunguzia bei ya spea za baiskeli
 
basi tukaagiza masafa pale na kitimoto,tulianza kupata moja baridi moja moto, wakati tunaendelea kidogo tu huyooo akatokea Mzee Urassa,,na ile Land Kruza yake new model ya kisasa power engine 2.4 filling system ya kisasa unaambiwa, ni automatic kuanzia kiti hadi vitasa, basi alikua na laki 3 mfukoni, akajishika kiunoni akatuangalia akatudharau akaingiza mkono mfukoni akatoa pesa akaweka pale mezani kisha akaenda chooni, sisi basi tukaanza kulewa, tukalewa tukalewa Yesu wangu , tulilewa tulilewa tulilewa tumelewa wakaanza kuongezeka ndugu zetu kutoka sehemu mbalimbali za kilimanjaro, marangu, machame,uru,,kishimundu, kibosho, mwika vunjo, mpaka kiboroloni unaambiwa tarakea mpaka huko sehemu za rombo wote pale wakawa wamemiminika,masawe alikuepo, mariale alikuepo, shirima alikuepo, mange alikuepo, lema alikuepo, ndossi alikuepo, mtei alikuepo, asei alikuepo, mama priska alikuepo,,mama manka alikuepo, minja alikuepo, kilua alikuepo, na huyu mtoto anakaa mtaa wa pili nani huyu...chuwa, haha eti chuwa nae alikuepo
[emoji106] [emoji106] [emoji2] [emoji2]
 
Na yule Jamaa aloimba "masawe alikuwepo, daud alikuwepo, na huyu mtoto wa hapa nyuma nani huyu,naye alikuwepo.
Yupo wapi?
Nadhani ameshiriki kuingiza sauti ktk kipindi cha tbc1 ubongo kids sina uhakika.
 
Dah, huyu jamaa kitambo sana mwaka 2000. Nimekumbuka mbali sana enzi hizo RFA inanasia FM! Mtu akikuuliza unasikiliza radio gani? Unamjibu "FM". Kwenye geto langu hapakosi mlingoti mrefuuuu niliounga waya ili kutengeneza antenna ya kunasia mawimbi ya FM! Ama kweli zamani (vijijini) raha!
 
Enzi zake hakukua na wakali ndio maana hata nyimbo za kibwege bwege kama hizo zilikua zinapata airtime kubwa
Kila enzi na wakali wake. Ukiiipata album yake na kusikiliza nyimbo zake ndo utajua kama huyo jamaa alikuwa bwege ama lah!
 
basi tukaagiza masafa pale na kitimoto,tulianza kupata moja baridi moja moto, wakati tunaendelea kidogo tu huyooo akatokea Mzee Urassa,,na ile Land Kruza yake new model ya kisasa power engine 2.4 filling system ya kisasa unaambiwa, ni automatic kuanzia kiti hadi vitasa, basi alikua na laki 3 mfukoni, akajishika kiunoni akatuangalia akatudharau akaingiza mkono mfukoni akatoa pesa akaweka pale mezani kisha akaenda chooni, sisi basi tukaanza kulewa, tukalewa tukalewa Yesu wangu , tulilewa tulilewa tulilewa tumelewa wakaanza kuongezeka ndugu zetu kutoka sehemu mbalimbali za kilimanjaro, marangu, machame,uru,,kishimundu, kibosho, mwika vunjo, mpaka kiboroloni unaambiwa tarakea mpaka huko sehemu za rombo wote pale wakawa wamemiminika,masawe alikuepo, mariale alikuepo, shirima alikuepo, mange alikuepo, lema alikuepo, ndossi alikuepo, mtei alikuepo, asei alikuepo, mama priska alikuepo,,mama manka alikuepo, minja alikuepo, kilua alikuepo, na huyu mtoto anakaa mtaa wa pili nani huyu...chuwa, haha eti chuwa nae alikuepo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mpaka sasa hakuna mdau aliyeaema uyu jamaa anapatikana wapi
 
Kuna yule mpare alimba sisi ndiyo baba dhao na mama dhao

Sijui yupo wapi.
 
Back
Top Bottom