Yupo wapi Deogratias Kisandu

Yupo wapi Deogratias Kisandu

'M_l_y(a a a) wa kisiasa' ni miongoni mwa sentensi zilizojirudia rudia sana kwenye comments section ya thread zake
 
daah uyu mwamba unusu
kuna wakati alidai akabiziwe Maria Obama yule mtoto wa Obama aoe mazima[emoji38]

bdae akarudi umu akilalama kufanyiwa hujuma na wabaya wake hadi kusababisha anyimwe haki ya kupewa unyumba

badae akafungwa kwa makosa ya mtandao

mara akarudi apa kulalama kufutwa kazi na mwajiri wake

mara ya mwisho alipost yupo studio anaandaa albam yake yenye nyimbo motomoto

lakin umu kuna wakuu weng walitaka jamaa anyang'anywe simu

mara leo hii amemisiwa[emoji38]
 
Deogratius nalimi kisandu huyu alinifanya niipende jf kabla hata sijajiunga.mimi nimeijua jf 2012 ndio nawaona memba kama deo kisandu,rara 1 ,pascal mayalla da jf ilikuwa tamu sana
 
Nikamfata pm kumwambia nampenda pia, akanichana anampenda zaidi Malia Obama nililia sana siku hiyo sikula.
😂😂 jamiiforum ya wakati huo ilikuwa kiboko yasasa imebaki kuumbuana watu wanachafuana mara huyu kalambwa na huyu tafrani!.
ungeng'ang'ania
 
Back
Top Bottom