Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nini kilimpata ?Deo mbona amefariki mwaka juzi, tumemzika Mwanza Mkolani kwa wazee wake
😳😳😳😳 serious????Deo mbona amefariki mwaka juzi, tumemzika Mwanza Mkolani kwa wazee wake
Hivi kwa nini machawa wengi hawajui kuandika neno ''tafadhali''? Ni jambo very interesting!Wakuu.
Nimemkumbuka Sana huyu mwamba,,.
Nina muda mrefu sijamuona jamvini ..
Mwenye taarifa zake tafadhari.
Kuna mwamba humu Dr william wamefanana sana hadi tukajikuta tunammiss kisandu.mara leo hii amemisiwa[emoji38]
Kuna mtu kasema Deo alidanja yani ntalia hadi kwikwi.....nlikua nampenda 😔Evelyn Salt itakuwa anajua alipo atueleze...😎
sio unampenda sema mnapendana...😁Kuna mtu kasema Deo alidanja yani ntalia hadi kwikwi.....nlikua nampenda 😔
Yeah....tuliwahi kupendanasio unampenda sema mnapendana...😁
si alikufunguliaga hadi uzi...?Yeah....tuliwahi kupendana
Yani unakuta mtu anakujua kukuzidi unavyojujijuaHaya ndiyo maajabu ya jf sasa!
We huogopiii?
Nikamfata pm kumwambia nampenda pia, akanichana anampenda zaidi Malia Obama nililia sana siku hiyo sikula.si alikufunguliaga hadi uzi...?
😂😂 jamiiforum ya wakati huo ilikuwa kiboko yasasa imebaki kuumbuana watu wanachafuana mara huyu kalambwa na huyu tafrani!.Nikamfata pm kumwambia nampenda pia, akanichana anampenda zaidi Malia Obama nililia sana siku hiyo sikula.
Kwa kweli mimi kama shabiki yake nimemmiss sana threads zake hadi ngoma zake kali.Wakuu.
Nimemkumbuka Sana huyu mwamba,,.
Nina muda mrefu sijamuona jamvini ..
Mwenye taarifa zake tafadhari.
Nimecheka sana, kumbe mlizama hadi penzini?Nikamfata pm kumwambia nampenda pia, akanichana anampenda zaidi Malia Obama nililia sana siku hiyo sikula.