inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Ndo umeeleza nini!?Kuwa na TISS kwenye chama ndio kuwa Mali ya serikali? The worst case ni hao TISS waliopo Chadema kuvujisha Siri za vikao kwa Samia ila zaidi ya hapo kuwa na mbea kwenye familia haifanyia familia Yako kuwa Mali ya anayepelekewa umbeya.
Mbona Kuna clip ya Lipumba msikitni akisema "alimuokoa JK 2010". Same case na ule mdahalo wa CUF vs CHADEMA 2011, CUF kupitia hamad Rashid walisema hawawezi shirikiana na Chadema maana kimekaa kikatoliki sana!!
....ya, Kuh:Sozigwa kumpa Taarifa Mahiga(R.I.P), ndio imekuwa mpya kwangu, kwasababu sikumbuki Sozigwa (R.I.P)kutajwa tajwa katika Kesi ile. Ahsante kwa Taarifa.
Ndiye Shahidi X na Shahidi Y alikuwa Mahiga....ya, Kuh:Sozigwa kumpa Taarifa Mahiga(R.I.P), ndio imekuwa mpya kwangu, kwasababu sikumbuki Sozigwa (R.I.P)kutajwa tajwa katika Kesi ile. Ahsante kwa Taarifa.
Ndiyo MkuuUbarikiwe.
Umeonyesha hekima ya hali ya juu kwa busara uliyotumia, itoshe kusema, umeonyesha shauku kubwa ya kujifunza zaidi, yaani una udadisi wa kutaka kujua mambo, endelea kufanya hivyo.
Umeongea makubwa [emoji109]Ukisubiri mahali maalum kupata elimu utachukua miaka mingi sana. Elimu nzuri lazima uitafute nje ya vyanzo rasmi
Nimekupata na hata kwetu sisi tumesoma hivyo kuwa Tamimu kwao kulikuwa ni mkwajuni [emoji106][emoji120]Kwasababu kataja katumba bar,haikuwepo.
Nimekaa sana hapo mkwajuni zamani sana na mpk inafunguliwa day 1 niko pale .
Mtaa anatoka comando tamim nilikua naishi hapo jirani
1. Kwamba uwepo wa TISS CHADEMA sio sawa na TISS kuimiliki CHADEMA.Ndo umeeleza nini!?
Watu wanachukulia mapinduzi kama kulala kitandani mume na mke.Kwa mwenye wazazi (watu wazima) na watoto hawezi kukaa na kufikiria hii takataka ya mapinduzi ni mbaya kuliko ubaya wenyewe.Somalia walipindua 1991 mpaka leo hawajawahi kutulia na kuwa na serikali!!!!
Libya nako ni miaka 12 leo hali ni tete....
Tusiwe shortsighted kiasi hicho
Nani kakwambia!!??? Alikuwa kazini.Sasa mbona alihama chama huyu jasusi?
Mbona mnawashambulia kama ni wenzenu!?Hahahaha.
Huko kote ulikotaja nani asiye "system"?
Kwenye usalama wa nchi kila mahali lazima wawezo wanausalama. Haiingii akilini kupoliticize usalama wa nchi. Sio sawa. Hata kwenye nyumba za ibada etc wanausalama ni muhimu kwa faida yetu. Ambao watu wanalalamika siku nyingi ni ile kupoliticize idara zote za serikali. Inabidi kubadilika kwenye kuendesha nchi1. Kwamba uwepo wa TISS CHADEMA sio sawa na TISS kuimiliki CHADEMA.
2. CUF walikua extremists in 1990s early 2000s.
Mbona hata OMO ni mtu wa system na ndio top man wa ACT? Imebadilisha chochote?
Mmh ulikuwa unaishi wapi mkuu,radio ilikuwa moja tu na habari ilikuwa moja.magazeti hayafiki matatu na habari ni hyo.we ulikuwa pori ganiMiaka ya 80 nilikuwepo. Haya yanayovuma leo wapo ambao hawajui
Wenzetu kwenye nini? Au huelewi unachokiongea?Mbona mnawashambulia kama ni wenzenu!?
Wapi nimeongea!? Au kuandika ni sawa na kuongea!?Wenzetu kwenye nini? Au huelewi unachokiongea?
Masikini huwa hakosi sababu za kuhalalisha umaskini wake!. Una uhakika upi kuwa mabadiliko ya mfumo wa kuendesha hii nchi yangekuja na neema kwa mtu wa kawaida?.Kwani nchi zote zenye amani Nyerere alizaliwa humo?. Hata asingezaliwa Tanzania huyo nyerere, nchi hii ingekuwa imesimama ilivvyo, pengine ingekuwa bora zaidi. Inawezekana kuwepo Nyerere ktk nchi hii ndio chanzo cha matatizo yote tuliyonayo Leo. Alizima ndoto/mawazo mbadala ya akina Tuntemeke Sanga, Oscar Kambona, Edwin Mtei etc. Mawazo ya hawa wazalendo na wengineo yangepokelewa, yawezekana leo Tanzania ingekuwa mbali. Ila kwa udikteta/uroho wa madaraka wa Nyerere hawa waliishia kizuizini au kutoroka nchi.
Kazi maalum.Sasa mbona alihama chama huyu jasusi?
Nimeelewa tatizo. Kiswahili siyo lugha mama kwako. Bado hujauelewa utamu wa Kiswahili.Wapi nimeongea!? Au kuandika ni sawa na kuongea!?
RIP Paul Sozigwa alisomea ushushushu kule Ulaya Mashariki miaka ile ya 70.....ya, Kuh:Sozigwa kumpa Taarifa Mahiga(R.I.P), ndio imekuwa mpya kwangu, kwasababu sikumbuki Sozigwa (R.I.P)kutajwa tajwa katika Kesi ile. Ahsante kwa Taarifa.
Alikuwa afisa kipenyo inavyosemekanaHistoria ya Serikali ya nchi hii ina Mengi na Mengi hayo hatuyajui.
Kina Hanspope, Maganga, Tamimu na wengine wengi walipanga kumuua na kuipundua Serikali ya Mwl Nyerere.
Inadaiwa dereva teksi aliyekuwa akiwasafarisha wapanga mapinduzi kuhudhuria vikao vyao vya Siri alibaini mpango wao na kuripoti kwa vyombo vya usalama.
Muda umeenda Sasa, huyu dereva teksi ni nani? Yupo wapi Sasa? Alilipwa nini na Serikali Kama shukurani ya kuinusuru nchi?
Aliuliwa Kombe aliyekuwa boss wa TISS miaka ile sembuse huyo Tamim aliyeasi mfumo uliokuwepo?.Dunia ililaumu sana kumpoteza huyu..hasa Cuba na Israel...huwezi ua jembe ..........