Yupo wapi dereva teksi alyefichua njama za kumpindua Nyerere mwaka 1982? Je, alilipwa chochote kama ‘asante’?

Yupo wapi dereva teksi alyefichua njama za kumpindua Nyerere mwaka 1982? Je, alilipwa chochote kama ‘asante’?

Kuwa na TISS kwenye chama ndio kuwa Mali ya serikali? The worst case ni hao TISS waliopo Chadema kuvujisha Siri za vikao kwa Samia ila zaidi ya hapo kuwa na mbea kwenye familia haifanyia familia Yako kuwa Mali ya anayepelekewa umbeya.

Mbona Kuna clip ya Lipumba msikitni akisema "alimuokoa JK 2010". Same case na ule mdahalo wa CUF vs CHADEMA 2011, CUF kupitia hamad Rashid walisema hawawezi shirikiana na Chadema maana kimekaa kikatoliki sana!!
Ndo umeeleza nini!?
 
Kwasababu kataja katumba bar,haikuwepo.
Nimekaa sana hapo mkwajuni zamani sana na mpk inafunguliwa day 1 niko pale .
Mtaa anatoka comando tamim nilikua naishi hapo jirani
Nimekupata na hata kwetu sisi tumesoma hivyo kuwa Tamimu kwao kulikuwa ni mkwajuni [emoji106][emoji120]
 
Somalia walipindua 1991 mpaka leo hawajawahi kutulia na kuwa na serikali!!!!


Libya nako ni miaka 12 leo hali ni tete....


Tusiwe shortsighted kiasi hicho
Watu wanachukulia mapinduzi kama kulala kitandani mume na mke.Kwa mwenye wazazi (watu wazima) na watoto hawezi kukaa na kufikiria hii takataka ya mapinduzi ni mbaya kuliko ubaya wenyewe.
 
1. Kwamba uwepo wa TISS CHADEMA sio sawa na TISS kuimiliki CHADEMA.

2. CUF walikua extremists in 1990s early 2000s.

Mbona hata OMO ni mtu wa system na ndio top man wa ACT? Imebadilisha chochote?
Kwenye usalama wa nchi kila mahali lazima wawezo wanausalama. Haiingii akilini kupoliticize usalama wa nchi. Sio sawa. Hata kwenye nyumba za ibada etc wanausalama ni muhimu kwa faida yetu. Ambao watu wanalalamika siku nyingi ni ile kupoliticize idara zote za serikali. Inabidi kubadilika kwenye kuendesha nchi
 
Kwani nchi zote zenye amani Nyerere alizaliwa humo?. Hata asingezaliwa Tanzania huyo nyerere, nchi hii ingekuwa imesimama ilivvyo, pengine ingekuwa bora zaidi. Inawezekana kuwepo Nyerere ktk nchi hii ndio chanzo cha matatizo yote tuliyonayo Leo. Alizima ndoto/mawazo mbadala ya akina Tuntemeke Sanga, Oscar Kambona, Edwin Mtei etc. Mawazo ya hawa wazalendo na wengineo yangepokelewa, yawezekana leo Tanzania ingekuwa mbali. Ila kwa udikteta/uroho wa madaraka wa Nyerere hawa waliishia kizuizini au kutoroka nchi.
Masikini huwa hakosi sababu za kuhalalisha umaskini wake!. Una uhakika upi kuwa mabadiliko ya mfumo wa kuendesha hii nchi yangekuja na neema kwa mtu wa kawaida?.
 
Historia ya Serikali ya nchi hii ina Mengi na Mengi hayo hatuyajui.

Kina Hanspope, Maganga, Tamimu na wengine wengi walipanga kumuua na kuipundua Serikali ya Mwl Nyerere.

Inadaiwa dereva teksi aliyekuwa akiwasafarisha wapanga mapinduzi kuhudhuria vikao vyao vya Siri alibaini mpango wao na kuripoti kwa vyombo vya usalama.

Muda umeenda Sasa, huyu dereva teksi ni nani? Yupo wapi Sasa? Alilipwa nini na Serikali Kama shukurani ya kuinusuru nchi?
Alikuwa afisa kipenyo inavyosemekana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom