johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Noma sana!Shikamoo mhenga, ilikuwaje Mzee?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Noma sana!Shikamoo mhenga, ilikuwaje Mzee?
Komando Tamimu alipewa kazi ya kuhakikisha anamuua Nyerere na ndiyo mapinduzi yatangazwe.Hawakupanga kumuua!
Kama utakuwa na hicho kitabu naomba link nikisome ama kama utakuwa unajua library yenye hicho kitabu naomba nielekeze.Cpt Tamim
RodrikRoshan Robart
Metusella seleman kamando
Eugen Maganga
Badru Rwechwengura kajaja
Harry Hans Pope
Zakaria Hans Pope
Hawa ma Luten ndio wahusika na wengineo.nilisoma kitabu Cha uhaini miaka hiyo.wakili wao alikuwa Murtaza Lakha
Hans alisema huo haukuwa Sehemu ya Mpango wao!Komando Tamimu alipewa kazi ya kuhakikisha anamuua Nyerere na ndiyo mapinduzi yatangazwe.
Sasa mbona alihama chama huyu jasusi?Field Marsha komandoo Tamimu akapigwa na Komandoo Mabere Marando mlenga shabaha long live Mabere Marando
Miaka ya 80 nilikuwepo. Haya yanayovuma leo wapo ambao hawajuiA
Ana maana Hilo tukio lilivuma sana miaka ya 80 mwanzoni. Kama ulikuwepo huwezi kusahau akina Rugangira na wenzake
Ukikua utaelewa once a pot always a potSasa mbona alihama chama huyu jasusi?
Duuuhhh, NCCR, CHADEMA walimpokaje?Ukikua utaelewa once a pot always a pot
Mkuu hapo kwenye Nerere futa andika NyerereHistoria ya serikali ya nchi hii ina Mengi na Mengi hayo hatuyajui.
Kina Hanspope, Maganga, Tamimu na wengine wengi walipanga kumuua na kuipundua serikali ya Mwl Nyerere.
Inadaiwa dereva teksi aliyekuwa akiwasafarisha wapanga mapinduzi kuhudhuria vikao vyao vya Siri alibaini mpango wao na kuripoti kwa vyombo vya usalama.
Muda umeenda Sasa, huyu dereva teksi ni nani? Yupo wapi Sasa? Alilipwa nini na serikali Kama shukurani ya kuinusuru nchi?
Kwa sasa kuna uhuru wa vyombo vya Habari na taarifa zinasambaa haraka sana na kwa upana kuliko wakati ule. Hivi sasa kijana wa kijijini akiwa na TECNO akapata bando kikitokea kitu mjini atawasimulia wenzie kijiweni, ama wakitoka shambani, na habari ikasambaa kijiji kizima. Wakati ule ulikuwa unasubiri wiki kwa gazeti la Uhuru kufika katika baadhi ya makao makuu ya Wilaya, hivyo ni inawezekana ulikuwepo lkn kutokana na changamoto za upatikanaji wa taarifa hukuweza kujua kilichoendelea huko mjini.Miaka ya 80 nilikuwepo. Haya yanayovuma leo wapo ambao hawajui
Nilikuwa pale Katumba Bar napata Supu na hata ile gari la breweries lilikuwa limemaliza kushusha Bia pale 😂😂🐼Field Marsha komandoo Tamimu akapigwa na Komandoo Mabere Marando mlenga shabaha long live Mabere Marando
Ingesababisha ombwe la uongozi pengine Ingekua mapinduzi Kila kukicha na isingetawalika Tena.Na yeye sijui kwa nini alitibua mpango wa wenzie bora angeacha tu hiki chama cha lumumba kisingekuwa madarakani leo hii ona sasa tulipo fika...
Amani zaidi ya hii iliyopo ilikuwepo hata kabla ya uhuru.Lakini pia tusingekuwa na amani hii.
Kwani nchi zote zenye amani Nyerere alizaliwa humo?. Hata asingezaliwa Tanzania huyo nyerere, nchi hii ingekuwa imesimama ilivvyo, pengine ingekuwa bora zaidi. Inawezekana kuwepo Nyerere ktk nchi hii ndio chanzo cha matatizo yote tuliyonayo Leo. Alizima ndoto/mawazo mbadala ya akina Tuntemeke Sanga, Oscar Kambona, Edwin Mtei etc. Mawazo ya hawa wazalendo na wengineo yangepokelewa, yawezekana leo Tanzania ingekuwa mbali. Ila kwa udikteta/uroho wa madaraka wa Nyerere hawa waliishia kizuizini au kutoroka nchi.Lakini pia tusingekuwa na amani hii.
Nasikia Tamimu ni nomaaa, Ni mtu wa wapi?Nilikuwa pale Katumba Bar napata Supu na hata ile gari la breweries lilikuwa limemaliza kushusha Bia pale 😂😂🐼
Na sio moroko ? Baada ya purukushani za mkwajuni kufika moroko ?Nilikuwa pale Katumba Bar napata Supu na hata ile gari la breweries lilikuwa limemaliza kushusha Bia pale 😂😂🐼
Hongera Mwamba Mimi mjomba mkbwa wangu alikuwa kapten wa ndege za jeshi so najua kila kitu, na uncle mdogo yeye ni retired Komandoo, blessed is the family we thank you God JWTZ is our family hadi sasa, Mimi ndio mjeuri nimepiga kozi Kisha nikawaambia umaskini sitaki dadeki wakaniona chizi sasa hivi wao ni mabubu mi ama free to talk.Nilikuwa pale Katumba Bar napata Supu na hata ile gari la breweries lilikuwa limemaliza kushusha Bia pale 😂😂🐼
"pengine" pengine nikioa sitapata watoto, pengine nikisafiri nitapotea, pengine nikiajiriwa nitaishi masikini, pengine......pengine......achana na hizi pengine pengine vinginevyo tungegoma kujitawala, ona sasa yametukuta.Ingesababisha ombwe la uongozi pengine Ingekua mapinduzi Kila kukicha na isingetawalika Tena.
Nadhani wanamtandao walikuja kuwatoa kimaso maso miaka ya 2005 walipoingia kivingine na kuleta maisha bora KWA watz!!!!Cpt Tamim
RodrikRoshan Robart
Metusella seleman kamando
Eugen Maganga
Badru Rwechwengura kajaja
Harry Hans Pope
Zakaria Hans Pope
Hawa ma Luten ndio wahusika na wengineo.nilisoma kitabu Cha uhaini miaka hiyo.wakili wao alikuwa Murtaza Lakha