mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
mbona mada hii.una wasi wasi kuna mapinduzi yanakuja?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio MAANA bas nyerere alitoa kauli ile kuhusu chadema kama chama makini KUMBE alikua anamaanisha kuwa kipo chini ya pot jasusi sio!!?Ukikua utaelewa once a pot always a pot
Mwenzio ndio alikuwa kazini hivyo ulitaka alipwe nini wakati ndio kazi yakeHistoria ya serikali ya nchi hii ina Mengi na Mengi hayo hatuyajui.
Kina Hanspope, Maganga, Tamimu na wengine wengi walipanga kumuua na kuipundua serikali ya Mwl Nyerere.
Inadaiwa dereva teksi aliyekuwa akiwasafarisha wapanga mapinduzi kuhudhuria vikao vyao vya Siri alibaini mpango wao na kuripoti kwa vyombo vya usalama.
Muda umeenda Sasa, huyu dereva teksi ni nani? Yupo wapi Sasa? Alilipwa nini na serikali Kama shukurani ya kuinusuru nchi?
Huyo hakuwa mtu wa usalama, alikuwa mzalendo mmoja. Enzi za mwalimu raia lazima ashangae neno kumpindua nyerere. Ilikuwa kama kumpinga Mungu ambapo lazima muumini akatae.Huyo alikuwa mtu wa usalama alifanya kazi ya teksi driver, na hata Leo bado wapo na wengine ni shoe shiners, fundi viatu mjini
Kuiondoa utawala mbovu hauna maana yoyote kama anayekuja ni Yale Yale it would've been worse"pengine" pengine nikioa sitapata watoto, pengine nikisafiri nitapotea, pengine nikiajiriwa nitaishi masikini, pengine......pengine......achana na hizi pengine pengine vinginevyo tungegoma kujitawala, ona sasa yametukuta.
Kwani Edward Mondlane na Samora Machel walipouawa, Msumbiji (au FRELIMO) kulitokea ombwe la uongozi? Kwame Nkrumah alipopinduliwa, hatimaye Ghana yakafuatia mapinduzi mengine mengi, imezuia nchi hiyo kuendelea? Pengine mapinduzi Yale yangefanikiwa tusingekuwa na hiki 'kijitabu' cha 1977, ambacho ndio chanzo cha nchi kuwepo ukoloni mamboleo. Mapinduzi mengine yanaweza kuleta matokeo chanya. Ndio maana leo marehemu Jerry Rawlings anaheshimika GhanaIngesababisha ombwe la uongozi pengine Ingekua mapinduzi Kila kukicha na isingetawalika Tena.
Kwa nini hayo hayakutokea U.S.A, China, Russia, France ?Ingesababisha ombwe la uongozi pengine Ingekua mapinduzi Kila kukicha na isingetawalika Tena.
Una hoja usikilizweNa yeye sijui kwa nini alitibua mpango wa wenzie bora angeacha tu hiki chama cha lumumba kisingekuwa madarakani leo hii ona sasa tulipo fika...
Basi Chadema waache wanachofanya wakafanye kazi nyingine.Kuiondoa utawala mbovu hauna maana yoyote kama anayekuja ni Yale Yale it would've been worse
Mkuu umeandika nini hapa?Kuiondoa utawala mbovu hauna maana yoyote kama anayekuja ni Yale Yale it would've been worse
Unamjua atakae kuja, au ni kati ya wale wanaoamini ni wanaccm tu ndio wenye akili wanaweza kutawala.Kuiondoa utawala mbovu hauna maana yoyote kama anayekuja ni Yale Yale it would've been worse
Mkuu hii ndio principle kwenye intelligence kwamba haondolewi mtu mpaka ijulikane ombwe litazibwa na nani?Mkuu umeandika nini hapa?
Unawezaje kujua kinachokuja?
Tunakijua tulichonacho kinachokuja ni matarajio mzee.
Tatizo unaongozwa na hofu
Tofautisha mapinduzi na chaguzi, tunaongelea muktadha wa Nyerere kupinduliwa sio CCM kuondolewa madarakani.Basi Chadema waache wanachofanya wakafanye kazi nyingine.
Dogo mpumbavu sana wewe
Mapinduzi yakitokea Kila mtu anataka kuwahi fursa ndio maana JPM alivyofariki wakatamani wachukue kiti ila hawakuweza sababu katiba ndio ilikua inafuatwa ila yangekua mapinduzi ungesikia Bashiru kajitangaza Rais, mara Mabeyo naye kapindua, ghafla Samia naye anaunda jeshi la waasi inakua vurugu tupu.Unamjua atakae kuja, au ni kati ya wale wanaoamini ni wanaccm tu ndio wenye akili wanaweza kutawala.
Kuna amani au tunavumiliana tu? Kilichopo nchini kinaitwA tabu bila chukiLakini pia tusingekuwa na amani hii.
Hata JKN alihama. WakammalizaSasa mbona alihama chama huyu jasusi?
Baba wa ubatizo wa Mbowe ni Nyerere.Ndio MAANA bas nyerere alitoa kauli ile kuhusu chadema kama chama makini KUMBE alikua anamaanisha kuwa kipo chini ya pot jasusi sio!!?
Ndio maana chadema ipo imara aiseh ina mizizi mirefu sana!
Nasikia hata kikwete alitishia kuwa akikatwa ataenda chadema na atashinda KUMBE alijua chadema ni kitu gani Aiseh!
Kama mambo yapo hivyo Bas nachelea kusema mnywaji Mkuu wa konyagi wa chadema sio mtu wa kawaida atakua pot huyo!!!