Yupo wapi dereva teksi alyefichua njama za kumpindua Nyerere mwaka 1982? Je, alilipwa chochote kama ‘asante’?

Muda umeenda Sasa, huyu dereva teksi ni nani? Yupo wapi Sasa? Alilipwa nini na serikali Kama shukurani ya kuinusuru nchi?

Hatibu Gandhi, au Hatty MacGhee, alikuwa dereva teksi aliyefichua njama ya jaribio la mapinduzi ya mwaka 1982 nchini Tanzania.

Alizaliwa huko Zanzibar mwaka 1948 na alihamia Dar es Salaam mwaka 1970 ambapo alianza kufanya kazi ya uchukuzi wa umma.

Mwaka 1982, alikuwa akiwasafirisha wapanga mapinduzi kuhudhuria vikao vyao vya siri. Alisikiliza mazungumzo yao na kugundua kuwa walikuwa na mpango wa kumuua Rais Julius Nyerere na kuipindua serikali.

Alichukua hatua ya kishujaa ya kuripoti kwa vyombo vya usalama na kusaidia kuwakamata wahusika na kuzuia jaribio la mapinduzi. Kwa kutambua ujasiri wake, serikali ilimpa tuzo ya cheti cha heshima na gari jipya.

Baada ya tukio hilo, alibadili kazi na kuanzisha biashara yake mwenyewe. Alikufa mwaka 2009 akiwa na umri wa miaka 61.
 
Tofautisha mapinduzi na chaguzi, tunaongelea muktadha wa Nyerere kupinduliwa sio CCM kuondolewa madarakani.
Hakuna njia moja ya kuondosha tawala za kishenzi nimekupa mifano ya U.S.A, France, China, Russia kwa hiyo akili zako za kijinga unafikiri tawala ovu zinaondoshwa kwa sanduku la kura pekee ? Safari ndefu bado kama ndio vichwa vya hivi vimejaa
 
Dogo unaendelea kuonesha namna gani ulivyo mpumbavu.

Mabadiliko hayafanywi na watu waoga siasa za kujipendekeza ni za kishenzi
 
Mbona unakwepa kutaja France, U.S.A, China, Russia ?
 
Usipolidhibiti Jeshi....kwa nchi zetu za kiafrika basi ujue kila uchao ni mapinduzi tu ......

Hayati JKN anabaki kuwa kiongozi bora kuliko wote Afrika....

Siempre El Commandante JKN,amen[emoji120]
JKN alidhibiti jeshi gani huyu huyu anaye shikilia record ya Rais aliye nusurika kupinduliwa mara nyingi ?
 
Dogo mjinga sana hiyo tume huru CCM wakuletee wewe na ukoo wako ?
 
2005 chadema haikua chochote,jakaya alisema ataenda cuf,yule mzee kauzu wa iringa aliyekua katibu mkuu akasema 'anayetaka kutoka CCM,akachungulie kaburi'
 
Angalia pengine unahadithia habari za mapokezi zisizo na ukweli wote. Jaribio kama hili linapotokea siyo kila kitu kinawekwa wazi. Njama zilijulikana kwa namna nyingine kabisa lakini mambo yote hayakuwekwa wazi ili kulinda mifumo ya usalama ya kukusanya habari na wahusika wake. Watch out!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…