data
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 26,858
- 23,768
Heh!!! Hivi unajua unazeeka vibaya ww!?!?Riziwani ni wakupata uwaziri kimei akose?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Heh!!! Hivi unajua unazeeka vibaya ww!?!?Riziwani ni wakupata uwaziri kimei akose?
Una uhakika CRDB imefungwa na imekua club au umakariri upumbavu wa Twitter?Hana jipya kwani hata hiyo CRDB ameondoka ameacha mikopo chefuchefu ya matrilioni ya hela aliyowakopesha wahindi na yeye akakomba 10% yake!! Hawa ndio walikuwa mafisadi wa Jiwe; akamjengea tawi la benki ambalo baada ya klfo chake ilibidi lifungwe kwa kukosa biashara na sasa limekuwa klabu huko Chattle!!! Watu wenye tabia ya uchawa ni hatari kwa maendeleo ya nchi.
Muacheni akae huko kwao Moshi na uBunge wake wa kuhongwa na Jiwe!
Sawa kabisa! Ili majengo yao watumishi watakaopangiwa hapo wapange kabla ya kupata nyumba zao!Wanaugulia kimyakimya. Nahisi ndio hawa wanataka chato iwe mkoa waokoe gharama.
Kwamba hata maoni yake hatoi?
Kesi waliangushiwa wenye makampuni ya kutoa mizigo bandarini, lakini kiuhalisia haiwezekani mizigo kutoka bila malipo kusoma kwenye system ya TPA na wahusika wa mpango mzima ni CRDBHii sikuwahi kuisikia.
Common or come on? Uchapiaji.Huyu ndio alikuwa chombo kilichotumiwa na makampuni ya kifisadi kuiba fedha toka BOT enzi ya Kikwete!!! Unataka tumpe respect mshirika wa kufisadi nchi yetu? Common be serious! If anything he is a criminal who should be in jail.
Utakuwa umechanganya mafaili. Hapa hajaongelewa magufuliHakika magufuli aliwashika wengi sana yaani mwaka ssa ila watoto walopokaji hawaishi kumtaja nyie endelea na ngojera zenu za ANAUPIGA MWINGI MPIGWE MAANA VICHAKA VYENU ETI KATIBA MPYA HATA IJE KATIBA GANI MNAPIGWA TU HII NDIO BONGO ZOZO
Would you care kuweka ushahidi hapa?Huyu ndio alikuwa chombo kilichotumiwa na makampuni ya kifisadi kuiba fedha toka BOT enzi ya Kikwete!!! Unataka tumpe respect mshirika wa kufisadi nchi yetu? Common be serious! If anything he is a criminal who should be in jail.
Common or come on? Uchapiaji.
Una uhakika CRDB imefungwa na imekua club au umakariri upumbavu wa Twitter?