Yupo wapi Eddy Sultan?

Binamu mke wake unamjua?? Yan huwez amin, utadhan mama ake mdogo, mweusi kama magufuli uson sasa utadhan mugabe
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] nikaanzishe thread ya kuchangisha hela kukutolea mdhamana kwa kumkashifu mtukufu
 
Aaah wee kaweka private?? Halafu nimemfollow naona akinijua ataniblock kabisa, aaah kwan mke wake binamu humjui?? Mmh jaman tuseme ukweli tu pale kaka mkubwa alibugi jaman
haaaa mie mwenyewe mara ya kwanza nilishtuka kwakweli.....

nikajua labda dada yake vile vya undugu
 
Au tumuendee kwa Bwaoja?
Tukaichimbue hirizi yake pale mlangoni kwao?
Afu umeona....kasafiri nae mara 2 ty.
Afu mbona hapendi kumuweka weka katika pic zake?
Ndo wake huyooo..hakushikiwa panga.
haaa naona hii thread itamfanya afute hata zile mbili zilizopo kule....
 
tunaomba picha wengne tukienda kumfollow anaweza kutuaccept jnne
 
haaaa mie mwenyewe mara ya kwanza nilishtuka kwakweli.....

nikajua labda dada yake vile vya undugu
Ebu sema wewe binamu, nikisema mm ntaambiwa warumi mbea, waaah mi nilijua dada ake au mama ake mdogo, nikashangaa anasema mama watoto, warumi nilivyokua mbea nikam inbox nikamwambia mke wako mzur waaah
 
Mmhh sipitagi hili jukwaa ila topic imenivutia. Nakumbuka wakati mdogo nilikuwa nawahi kukaa mbele kuangalia hiki kipindi...na akija alikuwa ndio anakiongoza...baadae akaja kupotea. Nikaja kuona thread humu ndani kaoa. Na nikaona picha za harusi na komenti za wadau pale. Pia nimetoka insta muda si mrefu na nimemuona wife yake pia. Ninachotaka kusema tu, mwacheni kijana jamani, amependa mwenyewe ametaka mwenyewe. Hata kama mkewe mkubwa ndio hivyo tena jamani kaka kashaleta mkeeeee....
Mmh kama huyu kaka yupo humu mtamfanya atizame picha za mkewe mara mbili mbili. He he hee bongo bwana unaoa mwenyewe ila watu wanakupa maoni utafikiri na wao waoaji...
 
haaa naona hii thread itamfanya afute hata zile mbili zilizopo kule....
Mie mbona naijua moja tu?
Hiyo ya pili mbona siijui?

Ila mie angekuwa kaka yangu, namtafutia mwanamke wa nje, hakyaMungu tena.
Ndio maana hata kwenye hafla haendagi nae.
 
Mwenzangu afute tu, sio kutudhalilisha kule, mtu msomi then handsome anatuletea kitu gan c bora angemuoa tunda tu
Tunda anagawa tigo ndio maana eti kutwa anaachwa.
Afu nani anampa jeuri ya pesa mjini?
Nasikia anakaa kwa apartment ya dola 500 kwa mwezi.
Ila ndo kanapenda kula kama mfugo.
 
Tunda anagawa tigo ndio maana eti kutwa anaachwa.
Afu nani anampa jeuri ya pesa mjini?
Nasikia anakaa kwa apartment ya dola 500 kwa mwezi.
Ila ndo kanapenda kula kama mfugo.
Kanapenda kula na hakanenepi, huyu anayempa jeuri mpaka tumkomeshe angalau aamie kwa binamu yangu dinazarde na yeye ale bata kidogo mfyuu
 
Kwani Dinazarde kaachana na Jux?
Mbea mie nakupa habari.......ndukiiiiiii!!!!
Waah, usiniambie binamu? Ndio maana siku hiz dinazarde haishiwi mapozi, ukimtumia pm hajibu, Ana mashauzi utadhan aliambiwa ataingia mbinguni mfyuuu, kumbe ndo mchepuko wa jux? Kesho namuanzishia thread manina zaks
 
Waah, usiniambie binamu? Ndio maana siku hiz dinazarde haishiwi mapozi, ukimtumia pm hajibu, Ana mashauzi utadhan aliambiwa ataingia mbinguni mfyuuu, kumbe ndo mchepuko wa jux? Kesho namuanzishia thread manina zaks
Muanzishie babu weeee....kwani sh ngapi!!!!
Kwanza sijui yuko wapi.
 
anatumia edd_mhina
keshaweka private account yake. itakua kasoma comment ya binamu lol
Aiseeeeee kweli beauty is in the eye of beholder, nikimcheck yule mke wake alivyo aiseeeee lazima alipumbazwaaa kijana eddy, inakuwaje Jamaa kaiweka fasta private account yake ya insta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…