Yupo wapi Edie Ganzel

MATHIAS KABYEMERA

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2013
Posts
1,793
Reaction score
572
Kama ni utunzi wa hadithi, namkumbuka sana Edie Ganzel. Sina uhakika kama ana uhusiano na Stanley Ganzel wa TBC ila hadithi yake ya “SIKUWA FUKARA” naikumbuka sana. Nikiona wanavyotahabika wanufaika wa serikali za awamu ya pili hadi nne, waliofutwa vyeti feki, waliotumbuliwa n.k, natamani hadithi hii ichapishwe upya.
 
Kisiwa cha Sikri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…