Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 35,812
- 107,628
Ahsante sana kiongozi..Hii hapa, IMEKAA VIBAYA-KALI P
"Umenyoa panki afu unabisha huuzi nyago wewe"
View attachment 1272305
Mm sijawahi kuiona hata huyo kali p nilikua sijawahi muona
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahsante sana kiongozi..Hii hapa, IMEKAA VIBAYA-KALI P
"Umenyoa panki afu unabisha huuzi nyago wewe"
View attachment 1272305
Poa mkuuTumbo joto nimeisahau mkuu ngoja nikaitafute google hlf nitaleta mrejesho anaimba vitu vya kuchekesha sana
Icheki utafurahi,watu wengi hawamjui huyu jamaaAhsante sana kiongozi..
Mm sijawahi kuiona hata huyo kali p nilikua sijawahi muona
Nikisikiaga nyimbo zake nakumbuka enzi niko sekondari form 2[emoji3][emoji3], hawa jamaa walituburudisha sana, ila nasikitika hatukuwapa hela, tumewapa majina na umaskini"wakati tupo kituoni tukawa hatuna mapene mfukoni,tukaiba virungu vya polisi,tukaenda kuuza kwa mama ntilie apikie msosi yule mwasibu wetu akatupa kesi,"[emoji23]
Mkuu,umesema ukweli kabisaNikisikiaga nyimbo zake nakumbuka enzi niko sekondari form 2[emoji3][emoji3], hawa jamaa walituburudisha sana, ila nasikitika hatukuwapa hela, tumewapa majina na umaskini
Mbona huyu anafanana na daudi bashite,Hii hapa, IMEKAA VIBAYA-KALI P
"Umenyoa panki afu unabisha huuzi nyago wewe"View attachment 1272305
Hahaha kwa mbali ni kweli mkuuMbona huyu anafanana na daudi bashite,
Hebu angalia vizuri
Kitunda ipi? Yupo Moshi na ni ustadh anatibu kwa kisomo.Kali p si anakaa kitunda wadau huo msikiti gani yupo
Eti aliiba kirungu cha polisi[emoji2][emoji2][emoji2]
[emoji1787][emoji1787]akaenda kukiuza kwa mama ntilie
Akapelekwa jela wale wafungwa wakaanza kuimba "mwali mwali mwali mwalii[emoji2][emoji2][emoji2]
Huyu jamaaa nampenda sana kwanza anaimba kwa uhalisia sanaKwavile yeye alikuwa mbishi wakamwachia aisee wewe nilijua kaz ya upolisi ni yangu peke angu nikifa nitazikwa na magwada yangu kuanzia leo mimi sio polisi tena[emoji23][emoji23][emoji23]
Nalewa chakari mapaka naangusha gari,maafande wenzangu wakawa wananitania afande cha pombe utapasuliwa mayai ulihaibishe jeshi la polisi,nikawa mbishi nataka nipasuliwe matatu na chips nusu.
Kitunda kibeberu yupoKitunda ipi? Yupo Moshi na ni ustadh anatibu kwa kisomo.