Huo ni ushauri mzuri sana ila kwa Fayza sidhani kama ataweza kushika jembe maana alisha zoeshwa vya bureeeeWanapambana na hali zao.
Wewe si umeona jamaa wanakipigania chama halafu wanaopewa Uwaziri ni akina Shonza! Inauma ati!
Labda wasubiri mpaka 2025...Lakini by then hata technology itakuwa imeshabadirika kwa hiyo itabidi tuu wakakamate mashamba wakalime matikiti Morogoro. Hakuna namna. Ngosha siyo kabisa!
Mkuu huyo ni house maid wa DABSikuhizi kuna cocochanel
Unajitafutia ban ndugu:Lizaboni ndiye Mrisho Gambo
Muhimu! Si unajua tena tumeshikwa kooni na mkoloni mweusi mwenye chembe chembe za ukabila na chuki kubwa kwa wapinzaniVipi leo utakwenda police kamata?
Poleni sana wenzenu tulisha yazoea mimi nitapita hapo kwa nje kamata labda naweza kutoa mchango wangu wa kukuwekea dhamanaMuhimu! Si unajua tena tumeshikwa kooni na mkoloni mweusi mwenye chembe chembe za ukabila na chuki kubwa kwa wapinzani?
nimesahau kuweka alama ya kuulizaUnajitafutia ban ndugu:
Name calling
Shonza..... Ritz?????, umejuajeWamepewa vyeo....mmoja ni DC, Mwingine mkuu wa mkoa, na wa Mwisho ni Naibu waziri