Yupo wapi Lizaboni,Fayza fox na Ritz?

Huo ni ushauri mzuri sana ila kwa Fayza sidhani kama ataweza kushika jembe maana alisha zoeshwa vya bureeee
 
Muhimu! Si unajua tena tumeshikwa kooni na mkoloni mweusi mwenye chembe chembe za ukabila na chuki kubwa kwa wapinzani?
Poleni sana wenzenu tulisha yazoea mimi nitapita hapo kwa nje kamata labda naweza kutoa mchango wangu wa kukuwekea dhamana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…