Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,547
- 7,167
Kwa Bunge hili wamekuwepo wabunge wa CCM waliojaribu kuongea ukweli ktk Bunge lisilo na upinzani. Baadhi yao ni Mipina, Gwajima, Sendeka nk.
Mbunge Christopher Ole Sendeka haonekani Bungeni kwa muda sasa.
Yupo wapi?
Mbunge Christopher Ole Sendeka haonekani Bungeni kwa muda sasa.
Yupo wapi?