Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,547
- 7,167
Miaka ya nyuma huyu jamaa alitamba na kibao "Elimu ni biashara tutasomaje?" Sijamsikia kwenye muziki siku nyingi na sijui yupo wapi na anashugulika na nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo raha sana. Wanawake kwa wanaume wote tunaulizana kama tumeuona mwezi🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️HUWA INANISHANGAZA SANA KWA NINI IBRAHIM AJIB HAPENDI MAZOEZI.
Yuwapi D Nob?One of my best emcees wa Bongo. Mzee wa Elimu mtaani dot kom.
"Nishike Mkono" by D Knob ft. Mwasiti.
-Kaveli-
Acha tu, kitambo"Huuuuuu-Aaaaaaaaah"
Mara ya mwisho miaka ya 2016 nilimuona, alikua anasoma paleMiaka ya nyuma huyu jamaa alitamba na kibao "Elimu ni biashara tutasomaje?" Sijamsikia kwenye muziki siku nyingi na sijui yupo wapi na anashugulika na nini?
Hahahahah!!!"Huuuuuu-Aaaaaaaaah"
BuhahahahahahahahhaHUWA INANISHANGAZA SANA KWA NINI IBRAHIM AJIB HAPENDI MAZOEZI.
Yupo kwenye systemMiaka ya nyuma huyu jamaa alitamba na kibao "Elimu ni biashara tutasomaje?" Sijamsikia kwenye muziki siku nyingi na sijui yupo wapi na anashugulika na nini?
Kumbe yupo serikalini?Yupo kwenye system
Mara ya mwisho miaka ya 2016 nilimuona, alikua anasoma pale
KAMPALA INTERNATIONAL UNIVERSITY.
Huenda ilimpasa kusoma baada ya kuona bila elimu Kuna vitu hutovipata mitaaniElimu mtaani.com ilimshinda?