Yupo wapi Mwanamziki wa Bongo Flava D Nob?

Yupo wapi Mwanamziki wa Bongo Flava D Nob?

Freed Freed

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2017
Posts
6,547
Reaction score
7,167
Miaka ya nyuma huyu jamaa alitamba na kibao "Elimu ni biashara tutasomaje?" Sijamsikia kwenye muziki siku nyingi na sijui yupo wapi na anashugulika na nini?
 
Miaka ya nyuma huyu jamaa alitamba na kibao "Elimu ni biashara tutasomaje?" Sijamsikia kwenye muziki siku nyingi na sijui yupo wapi na anashugulika na nini?
Mara ya mwisho miaka ya 2016 nilimuona, alikua anasoma pale
KAMPALA INTERNATIONAL UNIVERSITY.
 
Miaka ya nyuma huyu jamaa alitamba na kibao "Elimu ni biashara tutasomaje?" Sijamsikia kwenye muziki siku nyingi na sijui yupo wapi na anashugulika na nini?
Yupo kwenye system
 
huwa sipendi bongo flava sana ila jamaa namkubali, kuna ngoma yake inaitwa "ingewezekana" ni moto
 
Back
Top Bottom