Yupo wapi mzee Makamba?

Huyu mzee Makamba ni bora akae kimya tu maana akitoa neno tu kuhusu bandari ndio atazidi kulikoroga zaidi, maana huyu mzee mwenzangu sio kabisa!
 
Hata wapumbavu huzeeka.
Halafu wakati mwingine unajiuliza haya mamjamaa mapuuzi puuzi yalipatapataje kuwa na nafasi kwenye chama na serikalini?!
Ina maana kipindi hicho hakukuwaga na vetting?!!
 
Yupo.
 
Alijinyea wazuri hawafi,tunasubiria aharishie mdomoni Tena ,bandari tayari wenye meno wamechukua nyie vibogoyo mtaweza kutafuna kidali mchanganyiko?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…