Moja ya maproducers fundi kabisa kuwahi kutokea kwenye Bongo Flava.Alitengeneza hit song nyingi sana kipindi yupo G Records na baadae G 2.Katika wasanii ambao aliwasaidia sana ni Ali Saleh Kiba.
Baadhi ya hit song alizotengeneza ni kama Nainai-Ommy Dimpoz,Nakshi Mrembo-AliKiba,Wajua(Unanihanda)-Queen Darleen n.k
Kwa miaka ya karibuni amekua hasikiki tena kwenye gemu.Je yupo wapi kwa sasa....!!?
Baadhi ya hit song alizotengeneza ni kama Nainai-Ommy Dimpoz,Nakshi Mrembo-AliKiba,Wajua(Unanihanda)-Queen Darleen n.k
Kwa miaka ya karibuni amekua hasikiki tena kwenye gemu.Je yupo wapi kwa sasa....!!?