bullet
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 1,047
- 543
Nafikiri unamuongelea Bisanda aliyekuwa Wizara ya kilimo ambaye amefariki mwaka juzi, au ni yule mdogo mtu maana wte ni maprof hawa. Ila hii nchi inatakiwa ifanyiwe review
Prof. Bisanda alisharudi. Kwa sasa ni Deputy Vice Chancellor(Academic) Open University of Tanzania, ila mkewe bado yupo KIST-Rwanda.