Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,547
- 7,167
allaahh, kumbeYupo kwenye ramadhan
Na Nani?Anahojiwa
Kwani kaulizwa yeyeWaziri wetu Majaliwa usijibu hili swali ni mteeegoooo
Tulianza niniTulianza ivi ivi
😆😆😆😆😆😆Waziri wetu Majaliwa usijibu hili swali ni mteeegoooo
Kwani kaulizwa yeye
Vipi agizo la Makamu wa Rais Jana, ulilielewa.Hata enzi zile hakuulizwa alijibu tu
Hakuna aliyemchuria bali uadimu wake, umenifanya nimmisiMsimchurie huyo mzazibari mabaya nyie khaa
Ahaaa sawa sawa.Hakuna aliyemchuria bali uadimu wake, umenifanya nimmisi
Mpe poleeehhKaonekana leo Ikulu ila anachechemea mguu wa kushoto.
Karudi leo toka Dubai baada ya kupelekwa na 5H-ONE tarehe 11 usiku afu ndege ikarudi tupu