ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Ajifunge kijili lawama apewe Kayoko, anyway mechi zote ambazo mmepakatwa alichezesha Kayoko?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Refa wa hovyo kuwahi kutokea bongo tangu kuumbwa kwa ulimwengu!Mara ya Mwisho kumuona ni mechi ya derby. Baada ya hapo sijamuona tena huyu refa wa Yanga Ramadhani Kayoko.
Yupo wapi?
Nakazia hapa! 📌🔨Yuko wapi Tatu Malogo? Mara ya mwisho alionekana akiwa kavaa jezi ya Makolo na mechi aliyopangiwa kuichezesha akaondolewa kimyakimya.
Alitufanyia umafia wa hali ya juu nadhani hata ww uliona..Ila mbona goli mlijiweka wenyewe wwaah
🤣 🤣 🤣 🤣Kabakiza macho viungo vingine kapeleka wapi?
Anamkwepa nani ?Utamuonaje na wakati tangu achezeshe Derby ameanza kutembea akiwa amevaa baibui mtaani?
Umafia gani wakati kijili ndiye aliyeweka chuma,waah!Alitufanyia umafia wa hali ya juu nadhani hata ww uliona..
Ww kama ni utopolo hatuwezi kuelewana ..kujifunga hata huko kwenu mzize anajifungaga..Umafia gani wakati kijili ndiye aliyeweka chuma,waah!
Ameramba asali kwa kupewa kazi ya kuwa Msaidizi wa Rais wa Marais wa Vilabu vya Soka Afrika huko Morocco!Mara ya Mwisho kumuona ni mechi ya derby. Baada ya hapo sijamuona tena huyu refa wa Yanga Ramadhani Kayoko.
Yupo wapi?
Ile derby kayoko aliwabeba sana makolo,hamza straight red ilimuhusu alikua mtu wa mwisho akimvuta dube ,camara alisababisha penalty alimkanyaga musonda,dk ya kwanza tu akawapa offside,diarra akaonyesha umahiri wake,ile day kayoko alikua upande wenu makoloComment za utopolo zinanivunja mbavu...
Kayoko mshenzi yule sitakaa nimsahau..
Amebakiza macho tuu kwa sasa..tutayavuta tuyatoe nje yaning'inie
Waliobebwa wanajulikana utopwox.....angefanya maamuzi vzr toka mwanzo hayo yasingefanyikaIle derby kayoko aliwabeba sana makolo,hamza straight red ilimuhusu alikua mtu wa mwisho akimvuta dube ,camara alisababisha penalty alimkanyaga musonda,dk ya kwanza tu akawapa offside,diarra akaonyesha umahiri wake,ile day kayoko alikua upande wenu makolo
Hahahahha Daah! Watu makatiri sana kama M23Comment za utopolo zinanivunja mbavu...
Kayoko mshenzi yule sitakaa nimsahau..
Amebakiza macho tuu kwa sasa..tutayavuta tuyatoe nje yaning'inie
Nasikia kile kichapo kwenye derby kilimpandisha sukari boss wa TFF!Mara ya Mwisho kumuona ni mechi ya derby. Baada ya hapo sijamuona tena huyu refa wa Yanga Ramadhani Kayoko.
Yupo wapi?
Weka pichaNasikia kile kichapo kwenye derby kilimpandisha sukari boss wa TFF!