Yupo wapi siku hizi?

Yupo wapi siku hizi?

Todito

Senior Member
Joined
Feb 6, 2013
Posts
154
Reaction score
363
Habari wakuu.

Nimeona kuna haja ya kuanzisha uzi maalumu wa kufahamu walipo baadhi ya watu wetu waliowahi kujulikana sana enzi hizo.

Leo naanza kwa kutaka kujua wapo wapi watu hawa?

1) Flora Nducha wa Radio One
2) Enika wa baridi kama hii
3) Peter Manyika- Kipa wa Yanga
4) Snare wa East Coast Team
5) KR jibaba wa Wanaume TMK
6)Sinta wa Juma Nature
7) Suma Lee na CPWAA
8) Angel Damas aliwahi kua Miss Tanzania
9) K.sal Mwana Mkiwa
10) Edger Maokola Majongo
11) Masood Sura Mbaya
12) Yule mtunzi wa Jumba la Dhahabu
13) Kibakuli na Swebe wa Kaole
14) Tina na Mjuba wa Tausi
15) Mabaga Fresh

List imeongezeka
Wapo wapi hawa?

1) Sekion David
2)Nyamayao
3)Bab lee wa Kizizi
4)Jimmy Plus wa Misukosuko
5)Tabia wa Kidedea
6) Paulin Zongo
7) Mama Terry wa Ushauri Nasaha
8) MB Dogg na Marlaw
9) Sajna na CSir Madini wa Tetemesha
10) Bery Black na Bery White wa Znz
11) LWP
12) Pingu na Deso
13) YP na YDash
14)Nina wa Mambo hayo
15)Besta

Wengine
1) Rose Chitala
2) Danny Msimamo
3) Da Jo
4) Farida RK
5) Dunga Mandugu Digital
6)
7)
8)
9)
10)
11)
12)
13)
14)
15)


Tujuzane tu

Na kama kuna mtu aliwahi kukufurahisha enzi hizo mtaje hapa jungu kuu halikosi ukoko tujue wapo wapi na wanafanya nini.

kulingana na maoni inasemakana wapo wachache wameshatungulia mbele za haki (R.I.P) wapumzike pema!

Ahsanten.
 
Back
Top Bottom