Huyu Mimi
JF-Expert Member
- Apr 16, 2019
- 2,575
- 2,117
Ndiyo Tena alikataa Katu Nyimbo Zake Zisije Zikapigwa Redion Hataki KabisaPico nae kumbe nae amemrudia mungu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo Tena alikataa Katu Nyimbo Zake Zisije Zikapigwa Redion Hataki KabisaPico nae kumbe nae amemrudia mungu
Karud Kwa Muumba Kaachana na FlevaKweli nimemkumbuka Picco
Enika Wa Changanyachangany auWamesema hapa pia. Enika unamkumbuka?
Namkubuka enz hizo niko badoo sijui yupo wapWamesema hapa pia. Enika unamkumbuka?
Umasikini ugonjwa, huyu binti alikuwa ananivutia sana ila daah, nikaishia kula kwa macho.Dah....Gugo banaaa[emoji41]
"M.P Blog: Throwback Thursday- Angela Damas,Miss Tanzania 2002" http://www.missiepopular.com/2013/07/throwback-thursday-angela-damasmiss.html?m=1
Yaaap ndio hivyo hivyo, ingawa baadae walitengana kila mtu akawa anaimba kivyake kama solo artistNadhani walikua wanajijta Parklane kama sijakosea...
Hata kama angetaka zipigwe ni nani angezipiga!Ndiyo Tena alikataa Katu Nyimbo Zake Zisije Zikapigwa Redion Hataki Kabisa
Kumbe zinakuaga Ndo Fix Zao Mkuu?Hata kama angetaka zipigwe ni nani angezipiga!
Hii tabia ya wasanii kuishiwa ndo wamrudie Muumba ni ya kukemewa!
Radio Ya Umoja Wa Mataifa USAFlora Nducha wa Radio One
Iddi Ligongo kwa sasa ni mtangazaji wa Voice of America, USA1.Bishanga,Waridi na Aisha wa mambo hayo
2.Sekioni David
3.Nyamayao na kibakuli
4.Jimmy plus wa misukosuko
5.Idd ligongo
6.Arnod Kayanda
7.Sauda Simba Kilumanga
Sasa bosi wake alikuwa wema sepetu unategemea nn??Hivi yule msanii mirror wa Wema haonekani