Yupo wapi siku hizi?

Benja wa mambo jambo na nyimbo yake ya kitobero kaimba na saida karoli [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Dataz...na mume wa mtu
 
Mabaga fresh tunaatabika tunadhulumika mabaga fresh tumepigika aaah maskin kufa na kuzikwa
 
Vumi utanikumbuka kwa mema niliyokutendea . ...
 
Hafsa wa

"Eti napigwa ninawachulia ..

Mpenzi wangu mimi kweli nakupenda..wajua ndo mana watesa

Labda ni dada zangu eeee....Mbona mabusu tele..mambo ya kizungu
 
Kuna wale wana wa Daz Nundaz, Skaut Jenta,Lalumba,Critic na Sajo sijui wamepotelea wapi ila Sajo alikua anapiga kisomo enzi zile Udsm nahis atakua muajiriwa wa public sekta now
 
1.Bishanga,Waridi na Aisha wa mambo hayo
2.Sekioni David
3.Nyamayao na kibakuli
4.Jimmy plus wa misukosuko
5.Idd ligongo
6.Arnod Kayanda
7.Sauda Simba Kilumanga
Seki yupo mjini hapa jamaa harakati nyingi sana pia anamiliki kampuni fulani mjini, orijino comedy bado wapo kama kundi na yeye still ni msimamizi wao

Mara ya mwisho kuonekana kwenye macho ya jamii ilikua kwenye msiba wa yule mdogo wake alikua mtangazaji wa Efm, pia kwenye harusi ya Joti alikua kama best man
 
Saigon mzee wa oi..oi..oi
Anaishi Sinza kwa remy ndio kwao, huyu alimrudia Mungu wake akawa swala tano lakini lakini mpaka mara ya mwisho namuona nilipata wasi wasi kama bado ni mcha Mungu.

Lakini mimi ni binadamu tu sina kipimo chakutambua uchaMungu wa mtu ila namuombea Mungu azidi kumsimamia katika imani yake
 
Hakuna tatizo.ni kijijini kidogo.kwa wakina sisi shega tu kuishi,kusaka pesa.ila kwa jina lake,bata zake alizowahi fanya ndo utofauti ulipo
Kweli mkuu, mbona wengine tunalisongesha hivyo tunalima mbogamboga life lonasonga ila wenzetu ambao walikuwa na fame inakuwa kama karudi miles nyingi nyuma ila ndio maisha ups and downs lazima ziwepo.
 
KR mula kajificha huko temeke kwa azizi(mwembe kiuno)choka mbaya zimebaki nywele tu
Alivyochukuliwa na T.I.D kwamba akamsimamie kazi za music Juma Nature alimpigia sana kelele kwamba ataenda kupotea na ndicho kilichotokea ni uteja tu
 
Nlimuona insta hivi karibuni anadai katelekezwa na mtoto aliezaa na mtunis wa bongo movie, amekua na muonekano mbaya Pauline sijui ndio maisha
Aisee hata Mimi nilimshangaa sikuamini Kama ndie yeye maisha haya mhhh.
 
Marlaw anafaid msambwanda wa besta uko

Mb dog yupoo na mara ya mwisho alikua kwa meneja QS Mhonda..

Mbona Hamuuliz Sajna Wa Ivetha
Kina C.sir Madini
Ibra De Hustler
Kali P
Solid Ground Family
Dullayo
Top C
Baada ya kujito pale MJ records nahisi ndio ilikua mwanzo wa anguko la msanii Dullayo, jamaa anaishi Ukonga (Majumba sita).

Maeneo yale kule karibu na kituo cha police Sitakishari kuna eneo linaitwa "ki-water kwamzungu" ndio mara nyingi anaonekana pale akila bata zake
 
Kwnn ulipatwa na wasiwasi mkuu??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…