Yupo wapi siku hizi?

Flora Nducha na Arnold kayanda wapo Sauti ya Umoja wa mataifa(marekani)
 
Tina na Mjuba ni wakenya..Waliigiza Tausi
 
Nampenda sana angel damas kuliko mamiss wt tz
 
Tabia was kidedea...binti kikojoz

Jiti...ndoto tata


Kibakuli na mama Abdul...mambo hayo


Bab Lee..kizizi
 
Fina Mango....i like this lady very much sauti yake tamu sana
 


Wengi wao hapo juu wameokoka huku wengine wamekuwa machangu, wabwia unga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…