Arien
JF-Expert Member
- Aug 29, 2017
- 11,245
- 11,767
aah nilijua nimewaandika aseeAmstron
Armstrong na bandago wazee wa michano....umewaacha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
aah nilijua nimewaandika aseeAmstron
Armstrong na bandago wazee wa michano....umewaacha
Hivi yule msanii mirror wa Wema haonekani
You are jokingMtunzi wa jumba la dhahabu ithink Tuesday kihangala yupo kule Lushoto anauza grocery yake.
Pauline Zongo Yupo Anaenderea na Life Lake Umri umeenda Now ....sema Saut ake bado kali vile vile
Sarah aka ShaaYule dada aliyeimba wimbo wa SUGUA GAGA, Jina limenitoka. Yu wapi sijui?
Nlimuona insta hivi karibuni anadai katelekezwa na mtoto aliezaa na mtunis wa bongo movie, amekua na muonekano mbaya Pauline sijui ndio maisha
Wapi Nemo?, Adili wa Chapakazi?
yule jamaa aliimba nakupenda Hip Hop nasikia kawa mwanajeshi sasa tukumbushane aliitwa nani?
Yupo sweden.anaishi na familia yake.kuhusu mziki anafanya bado kiaina,ametoa nyimbo kadhaa hivi karibuniMr Paul wa Zuwena yuko wapi sikuizi?
Sio AustraliaYupo sweden.anaishi na familia yake.kuhusu mziki anafanya bado kiaina,ametoa nyimbo kadhaa hivi karibuni
Bablee mzee wa kizizi alikuwa anachuana na mr Blue
NopKumbe Suma kaamua kumuunga mkono Mzee Yusuph...
Tabia alifariki kitambo sanaTabia was kidedea...binti kikojoz
Jiti...ndoto tata
Kibakuli na mama Abdul...mambo hayo
Bab Lee..kizizi
Fina aliolewa na mzungu na ana mtotoFina Mango....i like this lady very much sauti yake tamu sana
Enika Wa Changanyachangany au
Flora nducha atakua zake mbele kama kawaida...sema juzi nmepita kwao naona kampolomoshea mzee wake bonge la jumba
1.Bishanga,Waridi na Aisha wa mambo hayo
2.Sekioni David
3.Nyamayao na kibakuli
4.Jimmy plus wa misukosuko
5.Idd ligongo
6.Arnod Kayanda
7.Sauda Simba Kilumanga