Yupo wapi Waziri wetu wa Katiba na Sheria, Dkt. Mwigulu Nchemba?

Yupo wapi Waziri wetu wa Katiba na Sheria, Dkt. Mwigulu Nchemba?

Prof Koboko

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2020
Posts
350
Reaction score
2,550
Huyu ndugu alikua mstari wa mbele kila wakati kusifia kwa kiwango cha juu sana kua haijawahi kutokea dunia nzima tumetokomeza ugonjwa wa Corona na Viongozi wa mataifa waje kwetu kujifunza.

Sijamsikia tangu juzi bungeni angalau angejitokeza hata kutoa salam za rambirambi kwenye account yake. Yupo wapi hivi sasa schoolmate wangu Ilboru enzi hizo?

Alikuwa akiongea maneno magumu sana na alikuwa mstari wa mbele kuishauri Serikali ifiche takwimu za maambukizi na vifo vya korona. Mwigulu aliwaona wanashauri vinginevyo hawafai kabisa katika taifa hili.

Yupo wapi hivi sasa ndugu yetu huyu?
 
Mataga wataanza kumkimbia Jiwe; corona ni dawa ya wanaojipendekeza!! PolePole aende akapime au ndio atakuwa super spreader wa corona huko bungeni na nchi nzima!!
 
Corona ni kama zile stori za Popo bawa [emoji23][emoji23]
 
Nyieeee Tulieeeeeeen, karibu wanatubu

Kwa Benjamin wamejaa

MNH Wamejaa.

Binafsini nako wamejaa.

Ngoja ngoja wakufe kwanza ...Chunga Familia yako .
 
Mchonga alikwisha waambia- “mficha maradhi- kilio kitamuumbua”... ndio saa kilio chenyewe hicho...hadi uvunguni ... lazima jiwe na yeye aende self isolation- vingenyo ataendelea kuwaambukiza walio karibu naye.

Afya ya walinzi wake nayo pia ni muhimu.
 
Huyu ndugu alikua mstari wa mbele kila wakati kusifia kwa kiwango cha juu sana kua haijawahi kutokea dunia nzima tumetokomeza ugonjwa wa Corona na Viongozi wa mataifa waje kwetu kujifunza...
Ameshapewa alichokuwa akitaka sasa anakula bata, ndio siasa za tz hizo.
 
6.jpg
 
Huyu ndugu alikua mstari wa mbele kila wakati kusifia kwa kiwango cha juu sana kua haijawahi kutokea dunia nzima tumetokomeza ugonjwa wa Corona na Viongozi wa mataifa waje kwetu kujifunza. Sijamsikia tangu juzi bungeni angalau angejitokeza hata kutoa salam za rambi rambi kwenye account yake. Yupo wapi hivi sasa school mate wangu Ilboru enzi hizo?

Alikua akiongea maneno magumu sana na alikua mstari wa mbele kuishauri serikali ifiche takwimu za maambukizi na vifo vya korona. Mwigulu aliwaona wanashauri vinginevyo hawafai kabisa katika taifa hili.
Yupo wapi hivi sasa ndugu yetu huyu?
Corona itamfichua aliko , sababu hiyo inapenya kila sehemu huwezi kujificha, mimi mwenyewe ilisha nishika siku 20 nilikuwa ndani chini ya caranteen muda mwingine ili bidi nifungue madirisha yote sababu niliona hewa haitoshi lakini sikwenda hospitalini wala kutumia dawa yoyote sababu ni mtu wa mazoezi muda wote na kufanya kazi nzito.
 
Back
Top Bottom