Yupo wapi Waziri wetu wa Katiba na Sheria, Dkt. Mwigulu Nchemba?

Ameshapata cheo hayo ndio yalikuwa malengo yake makuu
 
Siyo ndugu yetu ni ndugu yako wewe na Magufuli aliyemteua na kumtengua mara nyingi kuliko mwingine yeyote kama Nchi hii ni ya watu wawili tu, mteua na mteuliwa huku tukiwa milioni 60 ikiwa ni pamoja na mimi na wewe ndugu yake uliyetakiwa kujua yuko wapi. I don't miss any Magufuli praise bastard!
 
Anakula nyungu,Jofu alitangaza wiki ya kujifukiza awamu ya tatu.
 
Yupo anaendelea kujikomba komba adumu kwenye cheo chake mpaka 2025, malipo ni hapa hapa Duniani sasa ametambua covid 19 haiangalii cheo inafagia kote kote hata yeye asipovaa barakoa itapita nae
 
Kale kabosi ka chungu cha afya kenye sura kama mdogo wake Edibily Lunyamila, bado kanapiga nyungu na mmewe aliyesoma sana nyaraka za wasomi pekee nchini?
Kapo sasa kichwa kinakauma kamejawa na Hofu ya kutumbuliwa
 
Bila kufunga mashule angalau hata siku 10 kujipanga vizuri tusitegemee corona kupungua Nchini kwani wanafunzi wanopanda daladala wapo hatarini kusambaza maambukizi zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…