Yusuf Bakhressa na Mzee Bakhressa hiki ndicho kinaisibu Azam FC yenu kwa 99%

Yusuf Bakhressa na Mzee Bakhressa hiki ndicho kinaisibu Azam FC yenu kwa 99%

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
1. Kuna wapigaji wengi.

2. Kuna wanafiki wengi.

3. Kuna Uyanga na Usimba mwingi.

4. Kuna usaliti na kutumika kuanzia kwa viongozi na wachezaji.

5. Majungu mengi kutoka kwa wachezaji wazawa na mafaza.

6. Ushirikina na kurogana sana.

7. Mchoyo wa kuhonga kwa waamuzi (marefa) ambao wanahongwa mamilioni na wababe wenzako mapacha wa Kariakoo.

Tatizo siyo makocha tena, Azam FC huwa mnapata makocha wazuri hata kuliko wenzako mapacha wa Kariakoo ila hamjajua tu na wenye akili akina GENTAMYCINE huwa tunashangaa na kusikitika sana, pale tukiona kila mara mnafukuza/mnafurusha makocha wakuu wenu mkiwaacha kikosini wale wanafiki wengi na wapika majungu waendelee kuwaharibia timu yenu nzuri na yenye kila kitu.

Hamjachelewa kufanya maamuzi!
 
Azam haijitambui inataka nni kwa ujumla

Nachelea kusema ni mtoto wa boss special school analaumu madarasa kwa kufeli Pepa

All in all Azam bado sana ni bora hata Ashanti wanajua wanataka nni
 
Azam amesare na Yanga mkaona bonge la timu, amekuja kufungwa na kmc na prisons tayari ooh kuna usaliti. Sasa hao wasaliti si wamgeisaliti dhidi ya Yanga?
Ndio umeongea utopolo gani huu sasa!!!!!
 
Back
Top Bottom