Yusuf Manji; kielelezo cha “malaika waliogeuzwa shetani”

Yusuf Manji; kielelezo cha “malaika waliogeuzwa shetani”

Maua mengi kwake Luqman..

Pamoja na historia ndogo ya maisha ya Manji, basi tumpe sifa ndugu yetu Luqman Maloto.

Hakika ni mwandishi wa viwango vya juu na vilivyotukuka. Anajua kumshawishi msomaji aendelee kumsoma. Mtiririko wake hauchoshi. Uchaguzi wake wa maneno ni wa viwango vya juu.

Uunganishaji wake wa visa na mikasa vya wahusika inavutia sana kuendana nayo. Vijana wa sasa wangesema mdundo na biti lake halina mfano. Ni hodari kweli kweli.

Ni mwandishi ambaye kwa hakika siwezi kuacha makala yake inipite bila kuimaliza. Ana taarifa nyingi za kweli, ambazo hakika hutotoka bure, hutojutia muda wako.

Alale salama tycoon Manji.
Pongezi kwa luqman. Sema hii stori imenifanya nitafakari jambo. MONEY VS POWER. Nguvu au nyenzo mbili zilizokinzana. Ni sawasawa na kile kisa cha jua na upepo kwenye vitabu vya darasa la tano. Au kisa cha maji na moto kwenye filamu ya THE LAST AIRBANDER.
 
Alikuwa anafuata order kutoka kwa Boss Kubwaa ...
Hata kama ni wewe ungefanya aliyofanya Makonda kumfurahisha Boss ..
Boss kubwa alimkausha Manji kiasi kwamba hakuna aliyeamini tajiri amekwisha ... Alifreez account zote za Tsh na US dollar bila kupepesa macho..

Ikawa haitoshi akachukua viwanja vikubwa alivyokuwa akimiliki Chanika, Kigamboni ... Alikuwa na kampuni ya kununua mazao mashambani na kupeleka nje ikafutiliwa mbali ...
Ilikuwa hatari sana..
Mwisho wote wapo kaburini kama kawa
 
Ila haya maisha. Jamaa nasikia alifanya booonge ya pati baada ya kusikia jiwe amevuta. Unaambiwa jamaa alifurahi utafikiri alihakikishiwa na Allah kwamba atakuwa Hafi ng'oo
Ukisikiliza speech ya mzee wa msoga inaleta impression kama "maji" alitaka kulipa kisasi maana mzee anasem "maji" alilalamika anaonewa hivo akataka kulipiza ila akaambiwa acha so ni wazi alifurahi jiwe kufa

All in all jiwe nae yuko kaburini moyo mweupe kabisa kwamba kashalipiza kisasi
 
Back
Top Bottom