Yusufu Mlela ni kafulia au ni nini mbaya?

Yusufu Mlela ni kafulia au ni nini mbaya?

kyanyangwe

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2018
Posts
1,275
Reaction score
3,316
Oya kwema wakuu?

Jana katika pita pita zangu nikamfuma huyu jamaa bishoo kajibanza mahali anapiga chai kwa mama ntilie. Nikajiuliza zile show off za kutumia mamilioni kwa ajili ya kifungua kinywa tu pale Kempiski Hotel zimeishia wapi mpaka anajumuika na sisi wanyonge huku kwenye chai za buku buku?

Ni hayo tu niliyowaandalia kwa leo.
Screenshot_20221013-070619_Instagram.jpg
 
Oya kwema wakuu?
Jana katika pitapita zangu nikamfuma huyu jamaa bishoo kajibanza mahali anapiga tea kwa mama ntilie.nikajiuliza zile show off za kutumia mamilion kwa ajili ya breakfast tu pale kempisk Hotel zimeishia wapi mpaka anajumuika na sisi wanyonge huku kwenye chai za buku buku?
Ni hayo tu niliyowaandalia kwa leo.
Picha ya kempinski ikwapi?
 
We unamshangaa huyo ambae hajawah kuwa na hela kuna watu kibao wana amaisha safi na wanakula kwa mama ntilie , unajua asilimia kubwa ya sisi wabongo tumekulia kwenye maisha duni hivyo hata mtu akiwa na hela ipo siku anaamua kupita kula kule alikokua anakula kipindi anatafta maisha safi.
 
we unamshangaa huyo ambae hajawah kuwa na hela kuna watu kibao wana amaisha safi na wanakula kwa mama ntilie , unajua asilimia kubwa ya sisi wabongo tumekulia kwenye maisha duni hivyo hata mtu akiwa na hela ipo siku anaamua kupita kula kule alikokua anakula kipindi anatafta maisha safi.
Uko sawa sawia muzee..
 
Oya kwema wakuu?

Jana katika pita pita zangu nikamfuma huyu jamaa bishoo kajibanza mahali anapiga chai kwa mama ntilie. Nikajiuliza zile show off za kutumia mamilioni kwa ajili ya kifungua kinywa tu pale Kempiski Hotel zimeishia wapi mpaka anajumuika na sisi wanyonge huku kwenye chai za buku buku?

Ni hayo tu niliyowaandalia kwa leo.View attachment 2385448
Nimeona hapo anapiga chai na CD [emoji1787]
 
Back
Top Bottom