Yusufu Mlela ni kafulia au ni nini mbaya?

Yusufu Mlela ni kafulia au ni nini mbaya?

Sasa haya ni matumizi mabaya ya roho mbaya. Huyo Mlela hajawahi kuripotiwa popote pale kwamba ana hela. Na hata kama angekuwa nazo sijaona ajabu yeye kula hapo. Ingawa hapajui Magomeni Mapipa lakini mbona hata Bilionea Lemutuz huwa anaendaga Sweken Zero Star hotel kula msosi, You Know!!
 
we unamshangaa huyo ambae hajawah kuwa na hela kuna watu kibao wana amaisha safi na wanakula kwa mama ntilie , unajua asilimia kubwa ya sisi wabongo tumekulia kwenye maisha duni hivyo hata mtu akiwa na hela ipo siku anaamua kupita kula kule alikokua anakula kipindi anatafta maisha safi.
Wachache sanaa
 
Sio kweli acheni kujifariji.
Ni kweli anachokisema... Juzi tu nimekutana na mzee mmoja ni mmiliki wa hotel na biashara nyingi tu... Anakunywa chai jioni kwa mama ntilie, na na alivyo vaa huwezi zani kama ni yeye
 
Oya kwema wakuu?

Jana katika pita pita zangu nikamfuma huyu jamaa bishoo kajibanza mahali anapiga chai kwa mama ntilie. Nikajiuliza zile show off za kutumia mamilioni kwa ajili ya kifungua kinywa tu pale Kempiski Hotel zimeishia wapi mpaka anajumuika na sisi wanyonge huku kwenye chai za buku buku?

Ni hayo tu niliyowaandalia kwa leo.View attachment 2385448
Aisee we ke au me?unatoka kijiji gani cha usukumani mkuu! Sio kwa ushambaa huu hata akina mayo wenzako hawapo hivyo! Shamba na tena buga we
 
Uongo! Jidanganye
we unamshangaa huyo ambae hajawah kuwa na hela kuna watu kibao wana amaisha safi na wanakula kwa mama ntilie , unajua asilimia kubwa ya sisi wabongo tumekulia kwenye maisha duni hivyo hata mtu akiwa na hela ipo siku anaamua kupita kula kule alikokua anakula kipindi anatafta maisha safi.
 
Ni kweli anachokisema... Juzi tu nimekutana na mzee mmoja ni mmiliki wa hotel na biashara nyingi tu... Anakunywa chai jioni kwa mama ntilie, na na alivyo vaa huwezi zani kama ni yeye
Alienda kupiga story za jioni.
 
Oya kwema wakuu?

Jana katika pita pita zangu nikamfuma huyu jamaa bishoo kajibanza mahali anapiga chai kwa mama ntilie. Nikajiuliza zile show off za kutumia mamilioni kwa ajili ya kifungua kinywa tu pale Kempiski Hotel zimeishia wapi mpaka anajumuika na sisi wanyonge huku kwenye chai za buku buku?

Ni hayo tu niliyowaandalia kwa leo.View attachment 2385448
Ukimaliza hili nakuomba njoo tena na Swali kwanini 99% ya wana JamiiForums ( ukiniondoa GENTAMYCINE ) wanajifanya wana Hela ( Matajiri ) wakati wengine tunawajua Kibinafsi kuwa wanalala Sebuleni katika Makochi yenye Matobo ya Panya kwa Mashemejj zao huku baadhi yao wakiwa ni Mashamba Boy tu?
 
Tuache ufuatilia sana maisha ya watu wasio na impact yeyote kwenye maisha yetu
 
Oya kwema wakuu?

Jana katika pita pita zangu nikamfuma huyu jamaa bishoo kajibanza mahali anapiga chai kwa mama ntilie. Nikajiuliza zile show off za kutumia mamilioni kwa ajili ya kifungua kinywa tu pale Kempiski Hotel zimeishia wapi mpaka anajumuika na sisi wanyonge huku kwenye chai za buku buku?

Ni hayo tu niliyowaandalia kwa leo.View attachment 2385448
Mi mwenyewe simjui
 
Back
Top Bottom