Yusufu Mlela ni kafulia au ni nini mbaya?

Mlela ajawai kua na hela.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Hongera wewe mwenye hela

Ova
 

Maisha ya Bongo movie ni kama maisha ya Insta, tiktok, JF (kwa baadhi ya watu) nk, wanaishi kufurahisha watu!
 
Mtu ambaye hali kwa mama ntilie
Humu atuambie humu
Binafsi mm kwa mama ntilie napigaga
Sana msosi

Ova
 
Hawa wasanii hasa wa bongo muvi wengi choka mbaya afu full kuigiza hadi maisha yao. Aseee kuna msanii siwez mtaja nimefika kufanya kazi maeneo yao kaja kwenye msiba aseee jamaa anagongea bia anagongea hadi dawa ya meno. Shower gel anapaka akajua ni losheni. Nyie nyie nyie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…