Kweli Utopolo wenye akili ni wawili Tu! Kwa hili la Yusuph kugomea kwenda Yanga na jinsi Utopolo wanavyohaha kisa sio Mchezaji bali ni kutaka kutunishiana misuli na Semaji la CAF kweli aliyesema huko wenye akili ni wawili Tu apewe maua yake.
Angalia jinsi mapovu yanavyowatoka midomoni kisa sio Mchezaji bali eti kauli za Semaji la CAF ndio mijitu yote hiyo yanapambana na jeshi la mtu mmoja, loh! Mnatia aibu, mmeshakua sasa, mambo ya mipasho muwaachie Akina Mashauzi na Khadija Khopa.
Kwani suala hilo hamuwezi kuliendesha/ kulishughulikia bila kuita waandishi wa habari? Tutoleeni utoto wenu! Mlikuwa wapi siku zote? Hii inaonyesha Semaji la CAF anawakera kiasi cha kukosa usingizi!
Simba Raha Sana! Jitu moja tu la Simba linawakera! Kwa taarifa yenu hamtutoi relini kwenye mechi zetu za kimataifa, kwani ndio lengo lenu kipindi hili. Aluta continue! Simba mbele Kwa mbele! Kagoma kagoma kuja kwenye vyura!
Angalia jinsi mapovu yanavyowatoka midomoni kisa sio Mchezaji bali eti kauli za Semaji la CAF ndio mijitu yote hiyo yanapambana na jeshi la mtu mmoja, loh! Mnatia aibu, mmeshakua sasa, mambo ya mipasho muwaachie Akina Mashauzi na Khadija Khopa.
Kwani suala hilo hamuwezi kuliendesha/ kulishughulikia bila kuita waandishi wa habari? Tutoleeni utoto wenu! Mlikuwa wapi siku zote? Hii inaonyesha Semaji la CAF anawakera kiasi cha kukosa usingizi!
Simba Raha Sana! Jitu moja tu la Simba linawakera! Kwa taarifa yenu hamtutoi relini kwenye mechi zetu za kimataifa, kwani ndio lengo lenu kipindi hili. Aluta continue! Simba mbele Kwa mbele! Kagoma kagoma kuja kwenye vyura!