Majini kama Yale ya mayele yatahusika au sioHuyu Kagoma na semaji lake la CAF ni wa kunyoosha tu, dawa ya kiburi ni jeuri.
Yanga huwa tunajua kudeal na kina dizaini ya Kagoma.
Hakuna kipya chini ya jua...Mnataka kipya?
InashangazaRank ndiyo kombe gani
Mshangazi.Na kweli yusufu kagoma kwenda Yanga sema tu viongozi wanamlazimisha. Yeye anaipenda Simba
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yanga wanapenda kesi ila Picha inaanza mwanasheria wao hajawahi kushinda kesi yoyote, kwanzia kwa Morison hadi Feisal
Ila broo utakuja kupigwa siku moja. Sasa hiyo 5 inafanya nini hapo? Kwani simu yako haina S hadi uweke 5?Mpira sio mapenzi ni biashara wakati ana sign Yanga hakujua kama ana mapenzi na 5imba?
Kila la kheri zakeeeee! Akaribie sanaaaa๐๐๐๐๐ค๐ค๐ค
Daaah. Kumbe FEISAL alishinda kesi yake?Yanga wanapenda kesi ila Picha inaanza mwanasheria wao hajawahi kushinda kesi yoyote, kwanzia kwa Morison hadi Feisal
Labda Kwa Dizaini ya majini!!?? Kama ni mahakamani mtapoteza muda kwani hamna mwanasheria nyie, mwanasheria hata HAJUI seller na buyer kwenye mkataba na hata aibu hamna mnaonyesha hayo makaratasi mbele ya kadamnasi!Huyu Kagoma na semaji lake la CAF ni wa kunyoosha tu, dawa ya kiburi ni jeuri.
Yanga huwa tunajua kudeal na kina dizaini ya Kagoma.
Tunataka haki itendeke kutoka tawi la simba tffSomeni magazeti ya kesho ya michezo kuhusu Kagoma tarehe 13- 09-2924,yanga SC wana mkataba halali alisaini kuitumikia yanga SC kwa miaka 3