Tetesi: Yusuph Manji ndiye Meya wa Jiji la Dar ajaye

Tetesi: Yusuph Manji ndiye Meya wa Jiji la Dar ajaye

Status
Not open for further replies.
Mkuu yes, kuwa meya wa jiji ni lazima kwanza uwe diwani, tena sio kuwa diwani ili mradi tuu ni diwani, lazima uwe diwani wa kuchaguliwa na sio viti maalum!. Masaburi ni diwani wa Kata ya Kivukoni, ambapo mtaa wa Magogoni ni moja ya mitaa yake!.

Kwa kukusaidia tuu, hata kuwa waziri ni lazima kuwa mbunge, ila kuwa Waziri Mkuu, ni lazima uwe mbunge wa kuchaguliwa kutoka majimboni!.

Kiukweli sisi Watanzania ni ignorants mpaka basi, kuna vitu simple mtu alipaswa kuvijua, hatujui!, kuna maswali simple tuu unapata jibu uki google, lakini watu wanauliza!, sitashangaa mtu akiuliza humu eti Kikwete ni rais wa wapi vile?!.

Ndio maana watu wanashinda wana lia lia tuu, kulalamika na kunung'unika, kujiandikisha kupiga kura, hawajiandikishi na wakujiandikisha, hawapigi kura!.

Pasco

Km mtu hajui hata udiwani unapatikanaje hadi umeya...unategemea huyo ajiandikishe kupiga kura?...maana uchaguzi mkuu huku bara unachagua kuanzia diwani..mbunge halafu rais...unakua na kura tatu tofauti mkononi..btw Pasco nina 'idea' ya kufanya short films inayohusu ishu fulani naweza kukuona?
 
Last edited by a moderator:
Ila wazungu wanavyojichukulia rasirimali tuwaache pichu zenu nyie,hakuna kingine zaidi ya dini yake
naona unataka kuongea kihindi nehiii!!! unajuwa dini yangu ni ipi wezi wakubwa nyiye wahindi na waongo kama kasuku!!!
 
Mkuu yes, kuwa meya wa jiji ni lazima kwanza uwe diwani, tena sio kuwa diwani ili mradi tuu ni diwani, lazima uwe diwani wa kuchaguliwa na sio viti maalum!. Masaburi ni diwani wa Kata ya Kivukoni, ambapo mtaa wa Magogoni ni moja ya mitaa yake!.

Kwa kukusaidia tuu, hata kuwa waziri ni lazima kuwa mbunge, ila kuwa Waziri Mkuu, ni lazima uwe mbunge wa kuchaguliwa kutoka majimboni!.

Kiukweli sisi Watanzania ni ignorants mpaka basi, kuna vitu simple mtu alipaswa kuvijua, hatujui!, kuna maswali simple tuu unapata jibu uki google, lakini watu wanauliza!, sitashangaa mtu akiuliza humu eti Kikwete ni rais wa wapi vile?!.

Ndio maana watu wanashinda wana lia lia tuu, kulalamika na kunung'unika, kujiandikisha kupiga kura, hawajiandikishi na wakujiandikisha, hawapigi kura!.

Pasco

Kula like za nguvu,tumejaa ulalamishi wakati maamuzi tunayo wenyewe
 
Km mtu hajui hata udiwani unapatikanaje hadi umeya...unategemea huyo ajiandikishe kupiga kura?...maana uchaguzi mkuu huku bara unachagua kuanzia diwani..mbunge halafu rais...unakua na kura tatu tofauti mkononi..btw Pasco nina 'idea' ya kufanya short films inayohusu ishu fulani naweza kukuona?
Mkuu Kipaji Halisipoa mimi niko available, acha hizi vurugu za 77 zipite, kisha naenda Dodoma tarehe 12 kumshangilia "jamaa yangu" baada ya kupitishwa, kisha tuwasiliane tuu.

Pasco
 
Mkuu Kipaji Halisipoa mimi niko available, acha hizi vurugu za 77 zipite, kisha naenda Dodoma tarehe 12 kumshangilia "jamaa yangu" baada ya kupitishwa, kisha tuwasiliane tuu.

Pasco

Ahsante kwa kukubali kwako...ombi langu pia kila la kheri huko dodoma najua 'jamaa ako' mungu atamjaria..nitaku PM
 
Mgoroko
wewe ni mmoja ya watu wanaolipoteza taifa hili . wenye akili wamekuja wakijadili hoja wewe unakuja kujadili jina? ninyi ndo huwa mnachagua rais kwa kumwangalia sura halaf nchi inaingia madeni, uchumi kudidimia na kuzidi kuwa maskini. kenya wameshatoka kwnye kundi la nchi maskini. we kaa hapa unajadili majina ya watu. Au ndo wale wale wanaolipwa naye....? Pasco nashukuru kwa kumwelewesha huyo ndugu maana ni kweli watu wanayajua mambo ya kipuuzi lakini hawatak kuhangaika kujua mambo ya msingi.
yusuf manji alitaka Umeya toka mwaka 2010 lakini alipoambia agombee udiwani aliona ni nafasi ya chini sana kwake .... akadharau akaukosa. this time hafanyi makosa hayo tena. wenye akili tulikuwa tunajua toka zamani anaitumia Yanga kujijenga kisiasa ili aje afike kwenye malengo yake. subiri sasa aje kuwa meya wa jiji. mtanambia kama mnadhan anafanya hayo kwa ajili ya kulipenda jiji la dar au kwa manufaa ya jiji la dar.
 
Last edited by a moderator:
dini yake sisi inatuhusu nini? mwizi,fisadi,jambazi.mchawi hana dini. hao wazungu wanaotuibia nao unadhan wana dini? bado una huo upuuzi wa kutetea hoja kwa misingi ya dini? unadhani wenye dini wote ni wapuuzi na wenye dini wote ni wastaarabu? tumia akili yako sawa sawa. hao wazungu wanaokuja kutuibia wanaletwa na nani? na je umewah wasikia wakitaka mpaka vyeo kama hivi vya udiwani, ubunge?
 
Mkuu yes, kuwa meya wa jiji ni lazima kwanza uwe diwani, tena sio kuwa diwani ili mradi tuu ni diwani, lazima uwe diwani wa kuchaguliwa na sio viti maalum!. Masaburi ni diwani wa Kata ya Kivukoni, ambapo mtaa wa Magogoni ni moja ya mitaa yake!.

Kwa kukusaidia tuu, hata kuwa waziri ni lazima kuwa mbunge, ila kuwa Waziri Mkuu, ni lazima uwe mbunge wa kuchaguliwa kutoka majimboni!.

Kiukweli sisi Watanzania ni ignorants mpaka basi, kuna vitu simple mtu alipaswa kuvijua, hatujui!, kuna maswali simple tuu unapata jibu uki google, lakini watu wanauliza!, sitashangaa mtu akiuliza humu eti Kikwete ni rais wa wapi vile?!.

Ndio maana watu wanashinda wana lia lia tuu, kulalamika na kunung'unika, kujiandikisha kupiga kura, hawajiandikishi na wakujiandikisha, hawapigi kura!.

Pasco


Usipanic mkuu, toa darasa bila jazba, mimi nimekuuliza tu sasa povu lote hilo la nini?
 
Huyu jamaa alishakatwa kwenye kinyang'anyiro cha kura za maoni. Cha kushangaza vimeibuka vibabu vilivyolipwa buku 7 vimeenda kumwaga chozi pale Lumumba hadi nimeshindwa kuwaelewa. Yaani sisi watanzania hakyanani tunamapungufu vichwani mwetu.yani hadi aibu.
 
Nimekuwa najiuliza huyu makonda katoa wapi pesa za kutawanya hivi? Mara askari milioni moja, mara sijui nani gari, mara mgambo wa jiji watakuwa na bodaboda, ila ukweli manji atalifanyia makubwa jiji tumpeni nafasi.
 
Hivi ile akili yake ya kumiliki Coco Beach iliishia wapi? Upunguani mwingine bwana ni shiiida, huyu alipokuwa hana cheo alikuwa antaka kukwapua maeneo yetu, akiupata umeya sijui itakuwaje
 
Bora huyu....anaona mbali...ni mfanya biashara atalivusha jiji , sio kina silaaa wamegaina tenda za kuzoa taka, mashimo matupu, foleni na uchafu
Huyu ataweza naamini.ila tuondoe ubaguzi...nina uhakika tutaona difference
Kuona mbali labda kuchungulia mtoni wakati totos wakiwa wanaoga, mbona hukoaliko yanga haoni kabisa!
 
Labda Lile La Mumbai!! Ila La Dar Tanzania Hawezi, Hata Kama CCM Wangekuwa Na Majority Ya Kuweza Kumchagua!!
 
Labda Lile La Mumbai!! Ila La Dar Tanzania Hawezi, Hata Kama CCM Wangekuwa Na Majority Ya Kuweza Kumchagua!!
Ukumbuke CUF kuna kizungumkuti, anaweza kugawa faranga kwa UKAWA, halafu ukashangaa ni meya wa jiji
 
Ukumbuke CUF kuna kizungumkuti, anaweza kugawa faranga kwa UKAWA, halafu ukashangaa ni meya wa jiji
Maoni Yako Na Uwezo Wako Wa Kufikiri Umegota Hapo Ktk Kukaririshwa, Tatizo Ambalo Umekua Nalo Since Primary School!! Kati Ya CCM Na CUF Ni CHAMA Kipi Kinachohubiri Kutimuana Na Kupelekea Mpasuko, Kati Wanaodhaniwa "Wasaliti "Na Wale "Wafia Chama " Wee Endelea Tu KUKARIRI!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom