Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuna wizi hapa Tanzania kama wazawa?Huyo manji anauwezo gani zaidi ya kutuibia?
Mkuu yes, kuwa meya wa jiji ni lazima kwanza uwe diwani, tena sio kuwa diwani ili mradi tuu ni diwani, lazima uwe diwani wa kuchaguliwa na sio viti maalum!. Masaburi ni diwani wa Kata ya Kivukoni, ambapo mtaa wa Magogoni ni moja ya mitaa yake!.
Kwa kukusaidia tuu, hata kuwa waziri ni lazima kuwa mbunge, ila kuwa Waziri Mkuu, ni lazima uwe mbunge wa kuchaguliwa kutoka majimboni!.
Kiukweli sisi Watanzania ni ignorants mpaka basi, kuna vitu simple mtu alipaswa kuvijua, hatujui!, kuna maswali simple tuu unapata jibu uki google, lakini watu wanauliza!, sitashangaa mtu akiuliza humu eti Kikwete ni rais wa wapi vile?!.
Ndio maana watu wanashinda wana lia lia tuu, kulalamika na kunung'unika, kujiandikisha kupiga kura, hawajiandikishi na wakujiandikisha, hawapigi kura!.
Pasco
Hata mimi nakubaliana na wewe! Kuliko hivyo Magufuli atasema wapeni UKAWA.I don't think this can happen under Magufuli ruling, napinga kwa herufi kubwa NOOOO
Kwani Manji yuko UKAWA?Niliwaambia Manji anaitumia Yanga kisiasa ili aje agombee nafasi moja kubwa hapo baadaye. Wengi wananibishia.
Manji atakagombea Udiwani, atashinda. then atakuja kugombea UMEYA WA JIJI LA DAR. ATASHINDA PIA. HIVYO Mjue YUSUFU MANJI ni Meya Mpya wa Jiji la Dar Mwaka Huu.
Mk
Mkuu Pasco huyu Masaburi aligombea udiwani lini huko Kata ya Kivukoni? Maana alikuwa mgombea wa ubunge katika jimbo la Ubungo. Alikuwa anapambana na Kubenea
Kweli chief,si umeona kwenye taarifa ya habari ya leo ITV magufuli amesema CCM wakubali kushindwa kama wameshindwaHata mimi nakubaliana na wewe! Kuliko hivyo Magufuli atasema wapeni UKAWA.
Angalia alitoa post lini ndio uhoji
Kwa mwenye fedha hakishindikani kitu..sio ndani ya CCM tu..nafikiri umenielewa ..inawezekana si anafedha nini kitashindikana kwa mtu mwenye fedha nini kitashindikana ndani ya CCM?
Nenda India kagombee uone kama hutarudishwa kwenu the same day, jaribu kukifikirisha kichwa chako walau.Hilo ndiyo tatizo la kuishi saana Tanzania bila kutoka ukaona ulimwengu, unataka kuniambia ikiwa India wanafanya makosa basi na sisi tuwafuate, sisi tunatakiwa tuende na wakati na tuige mifano ya nchi zilizoendelea ili tuendelee na kwenda na wakati, sio kutizama yanayofanywa na India nchi inayoendelea kama sisi, tutaganda hapa tulipo na watu wenye mawazo kama yako.
Hivi sasa Uingereza katika mji wa London kuna nafasi kubwa ya mhindi Khan kushinda Umeya, wao hawatizami kingine zaidi ya uwezo wa mgombania na uraia wake na hizo ndiyo nchi za kuigwa mifano yao.
Ndio maana Leo Magu katoa neno. I am very sure that hii haitokeiHata mimi nakubaliana na wewe! Kuliko hivyo Magufuli atasema wapeni UKAWA.
Baadae aje awe Rais wa hii nchi.Niliwaambia Manji anaitumia Yanga kisiasa ili aje agombee nafasi moja kubwa hapo baadaye. Wengi wananibishia.
Manji atakagombea Udiwani, atashinda. then atakuja kugombea UMEYA WA JIJI LA DAR. ATASHINDA PIA. HIVYO Mjue YUSUFU MANJI ni Meya Mpya wa Jiji la Dar Mwaka Huu.
Ujui ata unachokiongea Masaburi alipigwa chini na Saed Kubenea katika kiti cha ubunge wa jimbo la Ubungo! Huo udiwani kagombea tena lini???Mkuu yes, kuwa meya wa jiji ni lazima kwanza uwe diwani, tena sio kuwa diwani ili mradi tuu ni diwani, lazima uwe diwani wa kuchaguliwa na sio viti maalum!. Masaburi ni diwani wa Kata ya Kivukoni, ambapo mtaa wa Magogoni ni moja ya mitaa yake!.
Kwa kukusaidia tuu, hata kuwa waziri ni lazima kuwa mbunge, ila kuwa Waziri Mkuu, ni lazima uwe mbunge wa kuchaguliwa kutoka majimboni!.
Kiukweli sisi Watanzania ni ignorants mpaka basi, kuna vitu simple mtu alipaswa kuvijua, hatujui!, kuna maswali simple tuu unapata jibu uki google, lakini watu wanauliza!, sitashangaa mtu akiuliza humu eti Kikwete ni rais wa wapi vile?!.
Ndio maana watu wanashinda wana lia lia tuu, kulalamika na kunung'unika, kujiandikisha kupiga kura, hawajiandikishi na wakujiandikisha, hawapigi kura!.
Pasco
Ogopa kijani any thing can be possible with them.Ujui ata unachokiongea Masaburi alipigwa chini na Saed Kubenea katika kiti cha ubunge wa jimbo la Ubungo! Huo udiwani kagombea tena lini???