Yusuph Mlela amtolea mitusi Ney wa mitego kisa Bongo movies kuandamana

Yusuph Mlela amtolea mitusi Ney wa mitego kisa Bongo movies kuandamana

Huyo mlela nae ni shoga tu,eti tunataka uwiano ana jua maana ya sokohuru au biashara huria,masenge hawa yanaendeshwa hivyo kila siku na Bashite
huyo neema angetumia lugha ya busala kufikisha ujumbe wake sidhani kama angeambulia matusi
 
Msanii wa filamu nchini Yusuph Mlela amemtusi
rapa Nay wa Mitego kwa kile anachodai kuwa
msanii huyo anapotosha jamii juu ya
maandamano waliofanya baadhi ya wasanii wa
filamu nchini.
View attachment 498667
Yusuph Mlela ambaye kwenye post yake
ameonekana kushindwa kutumia lugha ya staha
huku akionesha kutokwa na povu jingi kutokana
na mapokeo ya mashabiki wa filamu ambao
walio wengi wamekuwa wakiwachana wasanii
hao na kuwataka kufanya kazi zenye ubora.
Rapa Nay wa Mitego alisikika akisema kuwa
baadhi ya wasanii wa filamu ambao
waliandamana ni matahira kwani kitendo cha
wao kutaka filamu za nje zizuiliwe hakina tija na
mantiki yoyote.
Kutokana na jambo hilo, ndipo hapo msanii huyo
alipoamua kushusha ujumbe kwa msanii Nay wa
Mitego

"Nay True Boy wewe jamaa si ulikuwa chocolaa
wewe leo umeyapatia kidogo unasahau kwamba
nyuma yako kuna kundi la vijana wanatamani
kuwa waigizaji\wanamuziki wakubwa....acha
kupotosha jamii yetu Kwa sababu zako binafsi...
sisi wasanii hatujakataza movie za nje. Tunataka
wanaozisambaza wafuate taratibu za kisheria ili
uwiano wa biashara uwepo ndiyo lengo la
maandamano" alisema Mlela
Mbali na hapo msanii huyo pia ameomba
mpambano na Nay wazichape
"Nay wa Mitego acha kutafuta sifa... nakushangaa
kuwa na ufikilivu mdogo kama wewe siyo
msanii...halafu huwezi kufananisha filamu na
muziki..... Wewe si mtoto wa Manzese unajifanya
unajua kupiga ngumi nataka Round 3 tu za boxing
kwenye stage ili Tanzania ijue nani taahira nikutie
adabu..... This is serous coz we mtoto mdogo tu
kwangu nakupa dole la kati kuongea sana tabia za kike
wewe si hip hop na unajiamini njoo uwanjani
chagua popote pale" Yusuph Mlela
View attachment 498668
Huyu jamaa hata kuandika hajui halafu anataka kupambana true boy daah cheki

Atujakataza =Hatujakataza
Kishelia = Kisheria
Ufikilivu* = Ufikirivu*
Tahiraa= Taahira
Serous = Serious

Lowassa baba chukua nchi 2020 uboreshe elimu,elimu,elimu.
 
Sio lazima unachokichukia wewe kila mtu akichukie
Hakuna sehem nilipolazimisha watu kupenda nnavyovipenda, mi nilichukizwa tu na ile sauti ilivyokua juu... Hata hivyo neno langu sio sheria
 
Hakuna cha round 3 nyie kutaneni mtaani chapaneni ngumi
Mtaani Mlela atapigwa Ney mtoto wa manzese kampani kubwa ila in the ring nampa Mlela nshawahi kumshuhudia Kinondoni kambini kwa Maugo anaziweza!
 
Msanii wa filamu nchini Yusuph Mlela amemtusi
rapa Nay wa Mitego kwa kile anachodai kuwa
msanii huyo anapotosha jamii juu ya
maandamano waliofanya baadhi ya wasanii wa
filamu nchini.
View attachment 498667
Yusuph Mlela ambaye kwenye post yake
ameonekana kushindwa kutumia lugha ya staha
huku akionesha kutokwa na povu jingi kutokana
na mapokeo ya mashabiki wa filamu ambao
walio wengi wamekuwa wakiwachana wasanii
hao na kuwataka kufanya kazi zenye ubora.
Rapa Nay wa Mitego alisikika akisema kuwa
baadhi ya wasanii wa filamu ambao
waliandamana ni matahira kwani kitendo cha
wao kutaka filamu za nje zizuiliwe hakina tija na
mantiki yoyote.
Kutokana na jambo hilo, ndipo hapo msanii huyo
alipoamua kushusha ujumbe kwa msanii Nay wa
Mitego

"Nay True Boy wewe jamaa si ulikuwa chocolaa
wewe leo umeyapatia kidogo unasahau kwamba
nyuma yako kuna kundi la vijana wanatamani
kuwa waigizaji\wanamuziki wakubwa....acha
kupotosha jamii yetu Kwa sababu zako binafsi...
sisi wasanii hatujakataza movie za nje. Tunataka
wanaozisambaza wafuate taratibu za kisheria ili
uwiano wa biashara uwepo ndiyo lengo la
maandamano" alisema Mlela
Mbali na hapo msanii huyo pia ameomba
mpambano na Nay wazichape
"Nay wa Mitego acha kutafuta sifa... nakushangaa
kuwa na ufikilivu mdogo kama wewe siyo
msanii...halafu huwezi kufananisha filamu na
muziki..... Wewe si mtoto wa Manzese unajifanya
unajua kupiga ngumi nataka Round 3 tu za boxing
kwenye stage ili Tanzania ijue nani taahira nikutie
adabu..... This is serous coz we mtoto mdogo tu
kwangu nakupa dole la kati kuongea sana tabia za kike
wewe si hip hop na unajiamini njoo uwanjani
chagua popote pale" Yusuph Mlela
View attachment 498668

Kukaa kimya wakati mwingine ni busara japo wakati mwingine hatutakiwi kukaa kimya kulingana na mazingira. Ila kwa hili la Yusuph Mlela ameangukia pua anamwita Ney mtoto wa mtaani, mjinga na kumtukana matusi mengine ambayo hata kuyataja ni aibu, hii inaonesha yeye mwenyewe (Yusuph Mlela) hana akili maana hiyo siyo namna ya kumjibu mtu hata kama amepotosha uma.
 
Wafanye kazi waache visingizio, Mbona bongo flavour inafanya vizuri licha ya nyimbo nyingi za kigeni zinavyopigwa.
 
Ney wa Mitego analazimisha fani ya muziki.

Ana sifa za kijinga na USHAMBA juu.
 
Msanii wa filamu nchini Yusuph Mlela amemtusi
rapa Nay wa Mitego kwa kile anachodai kuwa
msanii huyo anapotosha jamii juu ya
maandamano waliofanya baadhi ya wasanii wa
filamu nchini.
View attachment 498667
Yusuph Mlela ambaye kwenye post yake
ameonekana kushindwa kutumia lugha ya staha
huku akionesha kutokwa na povu jingi kutokana
na mapokeo ya mashabiki wa filamu ambao
walio wengi wamekuwa wakiwachana wasanii
hao na kuwataka kufanya kazi zenye ubora.
Rapa Nay wa Mitego alisikika akisema kuwa
baadhi ya wasanii wa filamu ambao
waliandamana ni matahira kwani kitendo cha
wao kutaka filamu za nje zizuiliwe hakina tija na
mantiki yoyote.
Kutokana na jambo hilo, ndipo hapo msanii huyo
alipoamua kushusha ujumbe kwa msanii Nay wa
Mitego

"Nay True Boy wewe jamaa si ulikuwa chocolaa
wewe leo umeyapatia kidogo unasahau kwamba
nyuma yako kuna kundi la vijana wanatamani
kuwa waigizaji\wanamuziki wakubwa....acha
kupotosha jamii yetu Kwa sababu zako binafsi...
sisi wasanii hatujakataza movie za nje. Tunataka
wanaozisambaza wafuate taratibu za kisheria ili
uwiano wa biashara uwepo ndiyo lengo la
maandamano" alisema Mlela
Mbali na hapo msanii huyo pia ameomba
mpambano na Nay wazichape
"Nay wa Mitego acha kutafuta sifa... nakushangaa
kuwa na ufikilivu mdogo kama wewe siyo
msanii...halafu huwezi kufananisha filamu na
muziki..... Wewe si mtoto wa Manzese unajifanya
unajua kupiga ngumi nataka Round 3 tu za boxing
kwenye stage ili Tanzania ijue nani taahira nikutie
adabu..... This is serous coz we mtoto mdogo tu
kwangu nakupa dole la kati kuongea sana tabia za kike
wewe si hip hop na unajiamini njoo uwanjani
chagua popote pale" Yusuph Mlela
View attachment 498668
Hawa bongo-mavi ni ma-bashite kheeeeee, sasa hapo ndio wamemchagua mlela ajibu kwa niaba yao???

Kiswahili cha ovyo, sijui amesoma MeMKWA huyu,??

Au aliishia darasa la pili la Mchana!??
 
Hawa nao watoe vyeti..sio kwa matusi hayo..kutoka kwa mtu ansyejihita professional....Mheshimiwa Magufuli embu tusaidie na hawa wasanii watoe vyeti ili tusiwe tunawalaumu bure....Inawezekana watanzania tuna hamu ya kuona mambo makubwa kutoka bongo movie ..kumbe wenyewe akili visoda....ndo zimefika mwisho wa kufikiri....Hivi hawa Bongo movie wengi wao wameingia kwenye filamu sababu vipaji halisi au ugumu wa maisha kitaa ns kukosa alternative???
 
Hivi Tanzania kuna ma actors naona hao ni vikundi vya mazingaombwe hawana hadhi ya kuitwa waigazaji umeshawai kuona wapi et mtu anaonja sumu kabla kumpa mkusudiwa
 
Bongo movie viumbe vya ajabu sana.wanapenda kubebwa bebwa tu.Movie zao kajamba nani.Wanaendekeza ubishoo na kijichubua tu.Lazima tununue za nje wao si wamejifanya wanasiasa waendeleee na siasa zao....Pia wasiletee maneno kwa shemeji zao bongo flava...Maana madem wengi wa bongo movie wanamilikiwa na Bongo fleva na madensa wao.Kanumba kafa na Bongo movie yake
 
Back
Top Bottom