Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwigizaji Mlela anasema anasema tofauti kubwa ya filamu nje yaani Africa, Ulaya na America na zile za bongo ni fedha tu. Wenzetu wanawekeza fedha nyingi kwenye filamu moja tofauti na sisi. Je wewe mdau unaamini maneno yake?
Kwamba kama tukiamua siku moja kuwekeza pesa nyingi katika filamu zetu siku moja Mlela anaweza kuingia katika tuzo za Oscar kupambana na wakina Denzel Washngton au Jammie Fox?
Napata mashaka kidogo mimi naamini tofauti ni kubwa zaidi ya pesa..
ha ha ha kwa hizi movie zao za "jambazi kuvaa koti refu na miwani nyeusi" mlinzi wa geti kua fyatu" "jini linavuka barabara kwa kucheki kwanza kulia na kushoto" " nguo za kichangudoa ndo wanavaa maofisini" ha ha ha af ndo wajifananishe na movie za.nje....fyatu kama walinzi wao[/QUOTE
yani ni 100% truth.... wako sharo sana hawa watu
24 season ufananishe na hizi za kantangazeee
Mwigizaji Mlela anasema anasema tofauti kubwa ya filamu nje yaani Africa, Ulaya na America na zile za bongo ni fedha tu. Wenzetu wanawekeza fedha nyingi kwenye filamu moja tofauti na sisi. Je wewe mdau unaamini maneno yake?
Kwamba kama tukiamua siku moja kuwekeza pesa nyingi katika filamu zetu siku moja Mlela anaweza kuingia katika tuzo za Oscar kupambana na wakina Denzel Washngton au Jammie Fox?
Napata mashaka kidogo mimi naamini tofauti ni kubwa zaidi ya pesa..