Duuh... nimeyahesabu hapo yapo magari kama 61... jameni yote hayo yanamsimdikiza mtu mmoja? Na kwanini yawe mengi hivyo?Siwezi kulipa kodi directly ili hawa wajinga wazitumie hivyo namna hii.
Kuna mapato naingiza kila mwezi zaidi ya 6m ningetakiwa niyadeclare tra ili niwe nayalipia kodi ila sifanyi hivyo ng'o na fedha zenyewe nalipwa mkononi .
Haiwezekani niangaike nitengeneze base ya mapato halafu wajinga wazitumie hovyo namna hii
Aliyemteua analipa kodi?Labda angesema direct tax ila indirect tax tunalipa wote mfano kwenye luku kila mtu anakatwa kodi, kununua bando la simu unakatwa kodi, kununua soda unakatwa kodi maana VAT ni shift able na tunaoilipa ni watumiaji wote wa mwisho.
So direct tax wanalipa million 2 ila indirect tax wanalipa zaidi ya million 30.
Kingine watu million 62 hawazalishi, mind you zaidi ya 50% ya waTanzania ni under 18 yaani watoto. So ilipaswa takwimu zake ziwe kwenye labor kwamba watu wangapi wanaozalisha hawalipi kodi. Utakuta wenye kazi au biashara ni million 10 pekee so takwimu zinakua tofauti na ukitoa general population
Aliyemteua mwenyewe analipa kodi?Wabunge wasiolipa kodi mbona hawakemei? Vipato vyao viko wazi kabisa lakini hawakatwi kodi
Nilifikiri sensa iliyofanyika ingewasaidia sana hawa watu wapenda kutoa takwimu.Labda angesema direct tax ila indirect tax tunalipa wote mfano kwenye luku kila mtu anakatwa kodi, kununua bando la simu unakatwa kodi, kununua soda unakatwa kodi maana VAT ni shift able na tunaoilipa ni watumiaji wote wa mwisho.
So direct tax wanalipa million 2 ila indirect tax wanalipa zaidi ya million 30.
Kingine watu million 62 hawazalishi, mind you zaidi ya 50% ya waTanzania ni under 18 yaani watoto. So ilipaswa takwimu zake ziwe kwenye labor kwamba watu wangapi wanaozalisha hawalipi kodi. Utakuta wenye kazi au biashara ni million 10 pekee so takwimu zinakua tofauti na ukitoa general population
kwa hiyo tozo sio kodi? Kodi ya nyumba kwenye luku sio kodi? Au anataka warudishe kodi ya kichwa? Wao wenyewe wameweka mazingira magumu ya kufanya biashara afu wanasema walipa kodi ni wachache? Wajaribu kufanya biashara afu waone kama watalipa kodi zote kawa wanavyotaka sisi tufanye.View attachment 3046768
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Yusuph Mwenda amesema Tanzania yenye idadi ya watu zaidi ya milioni 60 lakini walipa kodi hawazidi watu milioni 2 jambo ambalo linasababisha watu hao wachache wanaolipa kodi kulazimika kubeba mzigo mkubwa na hivyo wakati mwingine kusababisha malalamiko ambayo kwenye mazingira ya kawaida yangeweza kuepukika
Akizungumza katika wa kikao kazi kilichowakutanisha TRA na viongozi wa wafanyabiashara Tanzania chini ya uratibu wa TPSF kilichofanyika Johari Rotana Hotel jijini Dar es Salaam leo, Alhamisi Julai 18, 2024 Mwenda aliyeteuliwa kushika nafasi hiyo hivi karibuni amesema mkakati alioingianao ofisini kwa sasa ni kuhakikisha namba ya walipa kodi inaongezeka nchini.
Pia soma hapa Tunduma: Rais Samia Awataka Wafanyabiashara Walipe Kodi na Tozo kuepuka mikopo. Asema Haziendi Kwenye Mifuko ya Viongozi
Kamishna Mkuu wa TRA bwana Yusuf Mwenda amewataka Wafanyabiashara wasirubuniwe na maofisa wachache wahuni wa TRA
====
My Take
Population structure ya Tanzania ni Pyramid in shape, tuna kundi kubwa la Vijana ambao sio wazalishaji Bali wategemezi.ππ
Tunawatu milioni 2 kati ya milioni 62 wanaolipa kodi Tanzania. Sasa Kuna mzigo mkubwa unaobebwa na watu wachache halafu kusapoti zaidi ya asilimia 98 ambao hawalipi kodi na katika hao milioni mbili sio kila mmoja analipa kodi kila mwezi. Hivyo tulikaa chini ili kuona ni jinsi gani tunaweza kurahisisha usimamizi wa ulipaji kodi ili kuvutia walipaji kodi wengi na hata kupunguza baadhi ya viwango ambavyo hawa watu wanazilipa.
Tulishauri tuwe tunakaa kila robo ya mwaka ili kuhakikisha tunafanya assessment ya mazingira ya biashara hasa katika usimamizi wa mambo ya kodi" - Raphael Maganga - Mkurugenzi Mtendaji TPSF
Hizo ni Mali za ccm wananunua Kwa miradi Yao shida Iko wapi?
JE mna wazingatia katika maamuzi ya kitaifa..? Tuseme serikali imefeli kuwawezesha watu wake ili walipe kodi wote maanaView attachment 3046768
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Yusuph Mwenda amesema Tanzania yenye idadi ya watu zaidi ya milioni 60 lakini walipa kodi hawazidi watu milioni 2 jambo ambalo linasababisha watu hao wachache wanaolipa kodi kulazimika kubeba mzigo mkubwa na hivyo wakati mwingine kusababisha malalamiko ambayo kwenye mazingira ya kawaida yangeweza kuepukika
Akizungumza katika wa kikao kazi kilichowakutanisha TRA na viongozi wa wafanyabiashara Tanzania chini ya uratibu wa TPSF kilichofanyika Johari Rotana Hotel jijini Dar es Salaam leo, Alhamisi Julai 18, 2024 Mwenda aliyeteuliwa kushika nafasi hiyo hivi karibuni amesema mkakati alioingianao ofisini kwa sasa ni kuhakikisha namba ya walipa kodi inaongezeka nchini.
Pia soma hapa Tunduma: Rais Samia Awataka Wafanyabiashara Walipe Kodi na Tozo kuepuka mikopo. Asema Haziendi Kwenye Mifuko ya Viongozi
Kamishna Mkuu wa TRA bwana Yusuf Mwenda amewataka Wafanyabiashara wasirubuniwe na maofisa wachache wahuni wa TRA
====
My Take
Population structure ya Tanzania ni Pyramid in shape, tuna kundi kubwa la Vijana ambao sio wazalishaji Bali wategemezi.ππ
Tunawatu milioni 2 kati ya milioni 62 wanaolipa kodi Tanzania. Sasa Kuna mzigo mkubwa unaobebwa na watu wachache halafu kusapoti zaidi ya asilimia 98 ambao hawalipi kodi na katika hao milioni mbili sio kila mmoja analipa kodi kila mwezi. Hivyo tulikaa chini ili kuona ni jinsi gani tunaweza kurahisisha usimamizi wa ulipaji kodi ili kuvutia walipaji kodi wengi na hata kupunguza baadhi ya viwango ambavyo hawa watu wanazilipa.
Tulishauri tuwe tunakaa kila robo ya mwaka ili kuhakikisha tunafanya assessment ya mazingira ya biashara hasa katika usimamizi wa mambo ya kodi" - Raphael Maganga - Mkurugenzi Mtendaji TPSF
Hata hivyo hao mil.2 ni wengi kwa sababu munawaonea wale ambalo hawatoi rushwa.View attachment 3046768
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Yusuph Mwenda amesema Tanzania yenye idadi ya watu zaidi ya milioni 60 lakini walipa kodi hawazidi watu milioni 2 jambo ambalo linasababisha watu hao wachache wanaolipa kodi kulazimika kubeba mzigo mkubwa na hivyo wakati mwingine kusababisha malalamiko ambayo kwenye mazingira ya kawaida yangeweza kuepukika
Akizungumza katika wa kikao kazi kilichowakutanisha TRA na viongozi wa wafanyabiashara Tanzania chini ya uratibu wa TPSF kilichofanyika Johari Rotana Hotel jijini Dar es Salaam leo, Alhamisi Julai 18, 2024 Mwenda aliyeteuliwa kushika nafasi hiyo hivi karibuni amesema mkakati alioingianao ofisini kwa sasa ni kuhakikisha namba ya walipa kodi inaongezeka nchini.
Pia soma hapa Tunduma: Rais Samia Awataka Wafanyabiashara Walipe Kodi na Tozo kuepuka mikopo. Asema Haziendi Kwenye Mifuko ya Viongozi
Kamishna Mkuu wa TRA bwana Yusuf Mwenda amewataka Wafanyabiashara wasirubuniwe na maofisa wachache wahuni wa TRA
====
My Take
Population structure ya Tanzania ni Pyramid in shape, tuna kundi kubwa la Vijana ambao sio wazalishaji Bali wategemezi.ππ
Tunawatu milioni 2 kati ya milioni 62 wanaolipa kodi Tanzania. Sasa Kuna mzigo mkubwa unaobebwa na watu wachache halafu kusapoti zaidi ya asilimia 98 ambao hawalipi kodi na katika hao milioni mbili sio kila mmoja analipa kodi kila mwezi. Hivyo tulikaa chini ili kuona ni jinsi gani tunaweza kurahisisha usimamizi wa ulipaji kodi ili kuvutia walipaji kodi wengi na hata kupunguza baadhi ya viwango ambavyo hawa watu wanazilipa.
Tulishauri tuwe tunakaa kila robo ya mwaka ili kuhakikisha tunafanya assessment ya mazingira ya biashara hasa katika usimamizi wa mambo ya kodi" - Raphael Maganga - Mkurugenzi Mtendaji TPSF
Wabunge, mawaziri na waandamizi wote hawalipi Kodi yoyote, kumanyoko na bongonyoso!View attachment 3046768
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Yusuph Mwenda amesema Tanzania yenye idadi ya watu zaidi ya milioni 60 lakini walipa kodi hawazidi watu milioni 2 jambo ambalo linasababisha watu hao wachache wanaolipa kodi kulazimika kubeba mzigo mkubwa na hivyo wakati mwingine kusababisha malalamiko ambayo kwenye mazingira ya kawaida yangeweza kuepukika
Akizungumza katika wa kikao kazi kilichowakutanisha TRA na viongozi wa wafanyabiashara Tanzania chini ya uratibu wa TPSF kilichofanyika Johari Rotana Hotel jijini Dar es Salaam leo, Alhamisi Julai 18, 2024 Mwenda aliyeteuliwa kushika nafasi hiyo hivi karibuni amesema mkakati alioingianao ofisini kwa sasa ni kuhakikisha namba ya walipa kodi inaongezeka nchini.
Pia soma hapa Tunduma: Rais Samia Awataka Wafanyabiashara Walipe Kodi na Tozo kuepuka mikopo. Asema Haziendi Kwenye Mifuko ya Viongozi
Kamishna Mkuu wa TRA bwana Yusuf Mwenda amewataka Wafanyabiashara wasirubuniwe na maofisa wachache wahuni wa TRA
====
My Take
Population structure ya Tanzania ni Pyramid in shape, tuna kundi kubwa la Vijana ambao sio wazalishaji Bali wategemezi.ππ
Tunawatu milioni 2 kati ya milioni 62 wanaolipa kodi Tanzania. Sasa Kuna mzigo mkubwa unaobebwa na watu wachache halafu kusapoti zaidi ya asilimia 98 ambao hawalipi kodi na katika hao milioni mbili sio kila mmoja analipa kodi kila mwezi. Hivyo tulikaa chini ili kuona ni jinsi gani tunaweza kurahisisha usimamizi wa ulipaji kodi ili kuvutia walipaji kodi wengi na hata kupunguza baadhi ya viwango ambavyo hawa watu wanazilipa.
Tulishauri tuwe tunakaa kila robo ya mwaka ili kuhakikisha tunafanya assessment ya mazingira ya biashara hasa katika usimamizi wa mambo ya kodi" - Raphael Maganga - Mkurugenzi Mtendaji TPSF
Pesa zenyewe tunazolipa kama kodi ndio zinazotumika kututeka na kutuua kwa kisingizio sio wazalendo. CCM wanaiba pesa wana fadhiri makundi yanafanya ugaidi ili kuua na kuteka wengine alafu unataka tulipe kodi.View attachment 3046768
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Yusuph Mwenda amesema Tanzania yenye idadi ya watu zaidi ya milioni 60 lakini walipa kodi hawazidi watu milioni 2 jambo ambalo linasababisha watu hao wachache wanaolipa kodi kulazimika kubeba mzigo mkubwa na hivyo wakati mwingine kusababisha malalamiko ambayo kwenye mazingira ya kawaida yangeweza kuepukika
Akizungumza katika wa kikao kazi kilichowakutanisha TRA na viongozi wa wafanyabiashara Tanzania chini ya uratibu wa TPSF kilichofanyika Johari Rotana Hotel jijini Dar es Salaam leo, Alhamisi Julai 18, 2024 Mwenda aliyeteuliwa kushika nafasi hiyo hivi karibuni amesema mkakati alioingianao ofisini kwa sasa ni kuhakikisha namba ya walipa kodi inaongezeka nchini.
Pia soma hapa Tunduma: Rais Samia Awataka Wafanyabiashara Walipe Kodi na Tozo kuepuka mikopo. Asema Haziendi Kwenye Mifuko ya Viongozi
Kamishna Mkuu wa TRA bwana Yusuf Mwenda amewataka Wafanyabiashara wasirubuniwe na maofisa wachache wahuni wa TRA
====
My Take
Population structure ya Tanzania ni Pyramid in shape, tuna kundi kubwa la Vijana ambao sio wazalishaji Bali wategemezi.ππ
Tunawatu milioni 2 kati ya milioni 62 wanaolipa kodi Tanzania. Sasa Kuna mzigo mkubwa unaobebwa na watu wachache halafu kusapoti zaidi ya asilimia 98 ambao hawalipi kodi na katika hao milioni mbili sio kila mmoja analipa kodi kila mwezi. Hivyo tulikaa chini ili kuona ni jinsi gani tunaweza kurahisisha usimamizi wa ulipaji kodi ili kuvutia walipaji kodi wengi na hata kupunguza baadhi ya viwango ambavyo hawa watu wanazilipa.
Tulishauri tuwe tunakaa kila robo ya mwaka ili kuhakikisha tunafanya assessment ya mazingira ya biashara hasa katika usimamizi wa mambo ya kodi" - Raphael Maganga - Mkurugenzi Mtendaji TPSF
Wawanyooshe tuu kama mnavuruga Nchi ulitaka wawakenulie meno?Pesa zenyewe tunazolipa kama kodi ndio zinazotumika kututeka na kutuua kwa kisingizio sio wazalendo. CCM wanaiba pesa wana fadhiri makundi yanafanya ugaidi ili kuua na kuteka wengine alafu unataka tulipe kodi.
Je viongozi wanakatwa kodi? Wajeshi wanalipa kodi katika maduka yao? Asasi za kidini wanalipa? Tuanzie hapo kwanza kabla ya kuwakaba wananchiWatanzania hamtaki kulipa Kodi ila mnadai maendeleo sijui mnayegemea yatatokea wapi.
Serikali ikikopa mnasema inakopa sana.
Serikali ikiwabana watu Walipe Kodi mnasema inawaonea , yaani hii Nchi Kila kitu lawama
View attachment 3046768
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Yusuph Mwenda amesema Tanzania yenye idadi ya watu zaidi ya milioni 60 lakini walipa kodi hawazidi watu milioni 2 jambo ambalo linasababisha watu hao wachache wanaolipa kodi kulazimika kubeba mzigo mkubwa na hivyo wakati mwingine kusababisha malalamiko ambayo kwenye mazingira ya kawaida yangeweza kuepukika
Akizungumza katika wa kikao kazi kilichowakutanisha TRA na viongozi wa wafanyabiashara Tanzania chini ya uratibu wa TPSF kilichofanyika Johari Rotana Hotel jijini Dar es Salaam leo, Alhamisi Julai 18, 2024 Mwenda aliyeteuliwa kushika nafasi hiyo hivi karibuni amesema mkakati alioingianao ofisini kwa sasa ni kuhakikisha namba ya walipa kodi inaongezeka nchini.
Pia soma hapa Tunduma: Rais Samia Awataka Wafanyabiashara Walipe Kodi na Tozo kuepuka mikopo. Asema Haziendi Kwenye Mifuko ya Viongozi
Kamishna Mkuu wa TRA bwana Yusuf Mwenda amewataka Wafanyabiashara wasirubuniwe na maofisa wachache wahuni wa TRA
====
My Take
Population structure ya Tanzania ni Pyramid in shape, tuna kundi kubwa la Vijana ambao sio wazalishaji Bali wategemezi.ππ
Tunawatu milioni 2 kati ya milioni 62 wanaolipa kodi Tanzania. Sasa Kuna mzigo mkubwa unaobebwa na watu wachache halafu kusapoti zaidi ya asilimia 98 ambao hawalipi kodi na katika hao milioni mbili sio kila mmoja analipa kodi kila mwezi. Hivyo tulikaa chini ili kuona ni jinsi gani tunaweza kurahisisha usimamizi wa ulipaji kodi ili kuvutia walipaji kodi wengi na hata kupunguza baadhi ya viwango ambavyo hawa watu wanazilipa.
Tulishauri tuwe tunakaa kila robo ya mwaka ili kuhakikisha tunafanya assessment ya mazingira ya biashara hasa katika usimamizi wa mambo ya kodi" - Raphael Maganga - Mkurugenzi Mtendaji TPSF