Chinese blade
JF-Expert Member
- May 15, 2023
- 337
- 366
Ko hizi zinazokatwa kwa kununua umeme na vocha zinaenda wapi???
Mwamba anashindwa kung'amua hata kwa akili ya kawaida tu, basi tufanye aliyosema ni kweli, lakini watawala ndio wametaka hao watu milioni 2 ndio walipe kodi kwa sababu hawana fikra za kutengeneza walipa kodi wengi, wameshindwa kutengeneza miundombinu rafiki kwa wananchi kufanya kazi, hamna ajira, hamna matumizi sahihi ya rasilimali zetu, ni kula na kuzurura ndio kazi pekee wanayoijua.
Ila wakae wakijua kuwa Tanzania ni ya wote, ipo siku hali hii itabadilika na vizazi vyao vitapitia magumu kama haya wanayotupitishia sisi.
Mwamba anashindwa kung'amua hata kwa akili ya kawaida tu, basi tufanye aliyosema ni kweli, lakini watawala ndio wametaka hao watu milioni 2 ndio walipe kodi kwa sababu hawana fikra za kutengeneza walipa kodi wengi, wameshindwa kutengeneza miundombinu rafiki kwa wananchi kufanya kazi, hamna ajira, hamna matumizi sahihi ya rasilimali zetu, ni kula na kuzurura ndio kazi pekee wanayoijua.
Ila wakae wakijua kuwa Tanzania ni ya wote, ipo siku hali hii itabadilika na vizazi vyao vitapitia magumu kama haya wanayotupitishia sisi.