Yusuph Mwenda: Kati ya watanzania Milioni 62, wanaolipa kodi ni Milioni 2 tu

Yusuph Mwenda: Kati ya watanzania Milioni 62, wanaolipa kodi ni Milioni 2 tu

Nimeona kwenye NBS, Hadi 2019 walikua waajiriwa sekta rasmi ni mil 3
Mwaka huu sijapata
Nashindwa elewa hapo hujawaweka wafanyabiashara ambao nao wanalipa direct. Bado nabisi clouds wamenukuu vibaya au hawakuelewa
Ok. Inawezekana pia kuna tatizo la data. Huenda alitazama idadi ya business tin kwa kulinganisha na non-business tin.

Hata hii ya PAYE ni mwaka juzi nadhani ndo waajiri ni lazima kufile PAYE na SDL kwa kuweka tin. Kabla ya hapo ni majina tu.
 
Ok. Inawezekana pia kuna tatizo la data. Huenda alitazama idadi ya business tin kwa kulinganisha na non-business tin.

Hata hii ya PAYE ni mwaka juzi nadhani ndo waajiri ni lazimika kufile PAYE na SDL kwa kuweka tin. Kabla ya hapo ni majina tu.
Inawezekana kabisa, ndio maana nikasema itakua kuna namna alivyocategorize, lakini wa direct tax ni zaidi ya hao mil 2
Kwa sababu pia ukiacha wafanyakazi walioajiriwa na wafanyabiashara, Kuna mamilion ya wakulima kwa Sasa wanalipa pesa direct za mazao yao, na kuna wakusanya hizo kodi wameajiriwa kabisa huko mikoani wanatembea na efd kwenye kila gate
 
Inawezekana kabisa, ndio maana nikasema itakua kuna namna alivyocategorize, lakini wa direct tax ni zaidi ya hao mil 2
Kwa sababu pia ukiacha wafanyakazi walioajiriwa na wafanyabiashara, Kuna mamilion ya wakulima kwa Sasa wanalipa pesa direct za mazao yao, na kuna wakusanya hizo kodi wameajiriwa kabisa huko mikoani wanatembea na efd kwenye kila gate
Hawa wangerasimishwa kodi zilipwe kwa tin ili hata wakitaka kuona historia zao za kodi wazione.

Hii itasaidia serikali kuangalia namna ya kukuza ufugaji wa kibiashara na kumwezesha mfugaji just kwa kutazama historia ya kodi ya mfugaji husika na kuwekeza kutafuta masoko ya nyama nje.

Dunia inahitaji chakula, vijana wanahitaji ajira, kwanini inashindikana?
 
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Yusuph Mwenda amesema Tanzania yenye idadi ya watu zaidi ya milioni 60 lakini walipa kodi hawazidi watu milioni 2 jambo ambalo linasababisha watu hao wachache wanaolipa kodi kulazimika kubeba mzigo mkubwa na hivyo wakati mwingine kusababisha malalamiko ambayo kwenye mazingira ya kawaida yangeweza kuepukika

Akizungumza katika wa kikao kazi kilichowakutanisha TRA na viongozi wa wafanyabiashara Tanzania chini ya uratibu wa TPSF kilichofanyika Johari Rotana Hotel jijini Dar es Salaam leo, Alhamisi Julai 18, 2024 Mwenda aliyeteuliwa kushika nafasi hiyo hivi karibuni amesema mkakati alioingianao ofisini kwa sasa ni kuhakikisha namba ya walipa kodi inaongezeka nchini.

Pia soma hapa Tunduma: Rais Samia Awataka Wafanyabiashara Walipe Kodi na Tozo kuepuka mikopo. Asema Haziendi Kwenye Mifuko ya Viongozi

Kamishna Mkuu wa TRA bwana Yusuf Mwenda amewataka Wafanyabiashara wasirubuniwe na maofisa wachache wahuni wa TRA

====

My Take
Population structure ya Tanzania ni Pyramid in shape, tuna kundi kubwa la Vijana ambao sio wazalishaji Bali wategemezi.👇👇

Tunawatu milioni 2 kati ya milioni 62 wanaolipa kodi Tanzania. Sasa Kuna mzigo mkubwa unaobebwa na watu wachache halafu kusapoti zaidi ya asilimia 98 ambao hawalipi kodi na katika hao milioni mbili sio kila mmoja analipa kodi kila mwezi. Hivyo tulikaa chini ili kuona ni jinsi gani tunaweza kurahisisha usimamizi wa ulipaji kodi ili kuvutia walipaji kodi wengi na hata kupunguza baadhi ya viwango ambavyo hawa watu wanazilipa.

Tulishauri tuwe tunakaa kila robo ya mwaka ili kuhakikisha tunafanya assessment ya mazingira ya biashara hasa katika usimamizi wa mambo ya kodi" - Raphael Maganga - Mkurugenzi Mtendaji TPSF
Ila TRA wanakadiria kodi kindezi sana 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂.
Yani hawafanyi tathmini ila wanakuuliza wewe unaweza kulipa kodi kiasi gani.
Kule kwenye kujaza turn over ya mwaka popote unapoweza kujaza we unakaza tu.
Hata ukichagua turnover ya 4milions ilhali unaingiza zaidi ya hiyo wala haifahamiki.
 
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Yusuph Mwenda amesema Tanzania yenye idadi ya watu zaidi ya milioni 60 lakini walipa kodi hawazidi watu milioni 2 jambo ambalo linasababisha watu hao wachache wanaolipa kodi kulazimika kubeba mzigo mkubwa na hivyo wakati mwingine kusababisha malalamiko ambayo kwenye mazingira ya kawaida yangeweza kuepukika

Akizungumza katika wa kikao kazi kilichowakutanisha TRA na viongozi wa wafanyabiashara Tanzania chini ya uratibu wa TPSF kilichofanyika Johari Rotana Hotel jijini Dar es Salaam leo, Alhamisi Julai 18, 2024 Mwenda aliyeteuliwa kushika nafasi hiyo hivi karibuni amesema mkakati alioingianao ofisini kwa sasa ni kuhakikisha namba ya walipa kodi inaongezeka nchini.

Pia soma hapa Tunduma: Rais Samia Awataka Wafanyabiashara Walipe Kodi na Tozo kuepuka mikopo. Asema Haziendi Kwenye Mifuko ya Viongozi

Kamishna Mkuu wa TRA bwana Yusuf Mwenda amewataka Wafanyabiashara wasirubuniwe na maofisa wachache wahuni wa TRA

====

My Take
Population structure ya Tanzania ni Pyramid in shape, tuna kundi kubwa la Vijana ambao sio wazalishaji Bali wategemezi.👇👇

Tunawatu milioni 2 kati ya milioni 62 wanaolipa kodi Tanzania. Sasa Kuna mzigo mkubwa unaobebwa na watu wachache halafu kusapoti zaidi ya asilimia 98 ambao hawalipi kodi na katika hao milioni mbili sio kila mmoja analipa kodi kila mwezi. Hivyo tulikaa chini ili kuona ni jinsi gani tunaweza kurahisisha usimamizi wa ulipaji kodi ili kuvutia walipaji kodi wengi na hata kupunguza baadhi ya viwango ambavyo hawa watu wanazilipa.

Tulishauri tuwe tunakaa kila robo ya mwaka ili kuhakikisha tunafanya assessment ya mazingira ya biashara hasa katika usimamizi wa mambo ya kodi" - Raphael Maganga - Mkurugenzi Mtendaji TPSF
Munashangaa Nini raisi wa nchi halip ilete shera mpya i Kodi na viongozi wengi wa kiserekali na kichama hawalipi kodi

Katiba mpya ilete Sheria mpya
Tume ya uchaguzi iweke Cha ulipaji Kodi ndo mtu aruhusiwe kugombea

Kama hata tin no huna unagombea uongozi kuongoza Nini

Hivi mama Abdul ana tin no kweli??
 
Kama uzalendo utapimwa kwa kulipa kodi tupo wazalendo tra inatutambua

Kuna watu wanapiga kelele humu ndani hata tin no hawana hawalipi kodi
 
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Yusuph Mwenda amesema Tanzania yenye idadi ya watu zaidi ya milioni 60 lakini walipa kodi hawazidi watu milioni 2 jambo ambalo linasababisha watu hao wachache wanaolipa kodi kulazimika kubeba mzigo mkubwa na hivyo wakati mwingine kusababisha malalamiko ambayo kwenye mazingira ya kawaida yangeweza kuepukika

Akizungumza katika wa kikao kazi kilichowakutanisha TRA na viongozi wa wafanyabiashara Tanzania chini ya uratibu wa TPSF kilichofanyika Johari Rotana Hotel jijini Dar es Salaam leo, Alhamisi Julai 18, 2024 Mwenda aliyeteuliwa kushika nafasi hiyo hivi karibuni amesema mkakati alioingianao ofisini kwa sasa ni kuhakikisha namba ya walipa kodi inaongezeka nchini.

Pia soma hapa Tunduma: Rais Samia Awataka Wafanyabiashara Walipe Kodi na Tozo kuepuka mikopo. Asema Haziendi Kwenye Mifuko ya Viongozi

Kamishna Mkuu wa TRA bwana Yusuf Mwenda amewataka Wafanyabiashara wasirubuniwe na maofisa wachache wahuni wa TRA

====

My Take
Population structure ya Tanzania ni Pyramid in shape, tuna kundi kubwa la Vijana ambao sio wazalishaji Bali wategemezi.👇👇

Tunawatu milioni 2 kati ya milioni 62 wanaolipa kodi Tanzania. Sasa Kuna mzigo mkubwa unaobebwa na watu wachache halafu kusapoti zaidi ya asilimia 98 ambao hawalipi kodi na katika hao milioni mbili sio kila mmoja analipa kodi kila mwezi. Hivyo tulikaa chini ili kuona ni jinsi gani tunaweza kurahisisha usimamizi wa ulipaji kodi ili kuvutia walipaji kodi wengi na hata kupunguza baadhi ya viwango ambavyo hawa watu wanazilipa.

Tulishauri tuwe tunakaa kila robo ya mwaka ili kuhakikisha tunafanya assessment ya mazingira ya biashara hasa katika usimamizi wa mambo ya kodi" - Raphael Maganga - Mkurugenzi Mtendaji TPSF
Na hapo toa watu wa gavoo,bunge na mahakama
 
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Yusuph Mwenda amesema Tanzania yenye idadi ya watu zaidi ya milioni 60 lakini walipa kodi hawazidi watu milioni 2 jambo ambalo linasababisha watu hao wachache wanaolipa kodi kulazimika kubeba mzigo mkubwa na hivyo wakati mwingine kusababisha malalamiko ambayo kwenye mazingira ya kawaida yangeweza kuepukika

Akizungumza katika wa kikao kazi kilichowakutanisha TRA na viongozi wa wafanyabiashara Tanzania chini ya uratibu wa TPSF kilichofanyika Johari Rotana Hotel jijini Dar es Salaam leo, Alhamisi Julai 18, 2024 Mwenda aliyeteuliwa kushika nafasi hiyo hivi karibuni amesema mkakati alioingianao ofisini kwa sasa ni kuhakikisha namba ya walipa kodi inaongezeka nchini.

Pia soma hapa Tunduma: Rais Samia Awataka Wafanyabiashara Walipe Kodi na Tozo kuepuka mikopo. Asema Haziendi Kwenye Mifuko ya Viongozi

Kamishna Mkuu wa TRA bwana Yusuf Mwenda amewataka Wafanyabiashara wasirubuniwe na maofisa wachache wahuni wa TRA

====

My Take
Population structure ya Tanzania ni Pyramid in shape, tuna kundi kubwa la Vijana ambao sio wazalishaji Bali wategemezi.👇👇

Tunawatu milioni 2 kati ya milioni 62 wanaolipa kodi Tanzania. Sasa Kuna mzigo mkubwa unaobebwa na watu wachache halafu kusapoti zaidi ya asilimia 98 ambao hawalipi kodi na katika hao milioni mbili sio kila mmoja analipa kodi kila mwezi. Hivyo tulikaa chini ili kuona ni jinsi gani tunaweza kurahisisha usimamizi wa ulipaji kodi ili kuvutia walipaji kodi wengi na hata kupunguza baadhi ya viwango ambavyo hawa watu wanazilipa.

Tulishauri tuwe tunakaa kila robo ya mwaka ili kuhakikisha tunafanya assessment ya mazingira ya biashara hasa katika usimamizi wa mambo ya kodi" - Raphael Maganga - Mkurugenzi Mtendaji TPSF
na huko zenji alikotoka wakojani wangapi wanalipa kodi
 
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Yusuph Mwenda amesema Tanzania yenye idadi ya watu zaidi ya milioni 60 lakini walipa kodi hawazidi watu milioni 2 jambo ambalo linasababisha watu hao wachache wanaolipa kodi kulazimika kubeba mzigo mkubwa na hivyo wakati mwingine kusababisha malalamiko ambayo kwenye mazingira ya kawaida yangeweza kuepukika

Akizungumza katika wa kikao kazi kilichowakutanisha TRA na viongozi wa wafanyabiashara Tanzania chini ya uratibu wa TPSF kilichofanyika Johari Rotana Hotel jijini Dar es Salaam leo, Alhamisi Julai 18, 2024 Mwenda aliyeteuliwa kushika nafasi hiyo hivi karibuni amesema mkakati alioingianao ofisini kwa sasa ni kuhakikisha namba ya walipa kodi inaongezeka nchini.

Pia soma hapa Tunduma: Rais Samia Awataka Wafanyabiashara Walipe Kodi na Tozo kuepuka mikopo. Asema Haziendi Kwenye Mifuko ya Viongozi

Kamishna Mkuu wa TRA bwana Yusuf Mwenda amewataka Wafanyabiashara wasirubuniwe na maofisa wachache wahuni wa TRA

====

My Take
Population structure ya Tanzania ni Pyramid in shape, tuna kundi kubwa la Vijana ambao sio wazalishaji Bali wategemezi.👇👇

Tunawatu milioni 2 kati ya milioni 62 wanaolipa kodi Tanzania. Sasa Kuna mzigo mkubwa unaobebwa na watu wachache halafu kusapoti zaidi ya asilimia 98 ambao hawalipi kodi na katika hao milioni mbili sio kila mmoja analipa kodi kila mwezi. Hivyo tulikaa chini ili kuona ni jinsi gani tunaweza kurahisisha usimamizi wa ulipaji kodi ili kuvutia walipaji kodi wengi na hata kupunguza baadhi ya viwango ambavyo hawa watu wanazilipa.

Tulishauri tuwe tunakaa kila robo ya mwaka ili kuhakikisha tunafanya assessment ya mazingira ya biashara hasa katika usimamizi wa mambo ya kodi" - Raphael Maganga - Mkurugenzi Mtendaji TPSF
Na kati ya kodi zinazolipwa ni asilimia ngapi inayotumika kwenye miradi ya maendeleo na asilimia ngapi inayotumika kwa kuliwa na wajanja na kununua wapinzani na kulipa wasanii ili waipigie kampeni ccm?
 
Mmhh
Waache ujinga
Usidanganyike
Ukiwa na simu unalipa kodi
Ukinunua umeme unalipa kodi
Ukibet unalipa kodi
Ukifanya transaction za kibenk na mitandao kuna kodi
Ukinunua kitu dukani kuna kodi..how come they say only 2M contribute to tax
 
Hivi hii ni kodi gani wanayozungumzia?
kuna PAYE kwa mfanyakazi
Kuna ushuru wa mazao kwa mkulima
kuna ushuru kwa mfugaji
Kuna kodi kibao kwenye LUKU
Kodi kibao kwenye petrol
Wafanyabiashara nao wana kodi zao...
Sasa hapa anasema ipi hailipwi?
Wabunge wanakatwa kodi?
 
Labda angesema direct tax ila indirect tax tunalipa wote mfano kwenye luku kila mtu anakatwa kodi, kununua bando la simu unakatwa kodi, kununua soda unakatwa kodi maana VAT ni shift able na tunaoilipa ni watumiaji wote wa mwisho.

So direct tax wanalipa million 2 ila indirect tax wanalipa zaidi ya million 30.

Kingine watu million 62 hawazalishi, mind you zaidi ya 50% ya waTanzania ni under 18 yaani watoto. So ilipaswa takwimu zake ziwe kwenye labor kwamba watu wangapi wanaozalisha hawalipi kodi. Utakuta wenye kazi au biashara ni million 10 pekee so takwimu zinakua tofauti na ukitoa general population
Kama chief taxman tena Mtanzania hawezi kutenganisha watoto,wazee katika ulipaji wa kodi.Ajiri mtu wa kuja kama mhindi au mchina akusanye kodi.
Afrika ikiwemo Tanzania tuna safari ndefu ya kujitambuwa.
 
Back
Top Bottom