Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa sababu ukizifuta hzo hatma ya watu M60 ipo kwa walipa kodi M2 tu.Kodi ni tozo ambazo zinamgusa kila mti
Umejenga hoja yako vizuri na umeeleweka, vipi upande wa matumizi? Unapata picha ya uwiano unaolingana? 🤔Hii nchi ccm itatawala sana sababu ya elimu yetu. Hivi kweli mkuu huelewi anachomaanisha mpaka unamuita mpumbavu? Hujui kwamba tax base ya direct tax inapoongezeka ndo ahueni kwa masikini wanaolipa indirect tax?
We unaambiwa kati ya watu M60 ni M2 tu ndo walipaji wa direct tax, hapo huoni tatizo, unaona anayetaka kutatua hilo tatizo ni mpumbavu, hizo indirect tax zinazolipwa na hoehae zinafutikaje bila kuongeza idadi ya walipakodi wanaolipa direct tax?
Huyu unayemuita mpumbavu akifanikiwa kurasimisha biashara zisizo rasmi kama madalali wa mazao ambao wanapata fedha kudalalia mazao, washereheshaji ambao kila weekend wanapata kazi, watu wa mission town ambao kila siku hapa mjini wanapiga pesa na hawana hata tin number, akifanikiwa kuoneza makampuni PAYE na SDL zikaongezeka, unaona kabisa hilo ni wazo la kipumbavu?
SAMIA ONGEZA TOZO.
Matumizi yetu ni jipu kubwa sana. Imagine tumefikiria kujenga majengo pacha ya kupangisha Kenya.Umejeng
Umejenga hoja yako vizuri na umeeleweka, vipi upande wa matumizi? Unapata picha ya uwiano unaolingana? 🤔
Ndio maana nikaandika pia tuna systemic failure ,Matumizi yetu ni jipu kubwa sana. Imagine tumefikiria kujenga majengo pacha ya kupangisha Kenya.
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Yusuph Mwenda amesema Tanzania yenye idadi ya watu zaidi ya milioni 60 lakini walipa kodi hawazidi watu milioni 2 jambo ambalo linasababisha watu hao wachache wanaolipa kodi kulazimika kubeba mzigo mkubwa na hivyo wakati mwingine kusababisha malalamiko ambayo kwenye mazingira ya kawaida yangeweza kuepukika
Akizungumza katika wa kikao kazi kilichowakutanisha TRA na viongozi wa wafanyabiashara Tanzania chini ya uratibu wa TPSF kilichofanyika Johari Rotana Hotel jijini Dar es Salaam leo, Alhamisi Julai 18, 2024 Mwenda aliyeteuliwa kushika nafasi hiyo hivi karibuni amesema mkakati alioingianao ofisini kwa sasa ni kuhakikisha namba ya walipa kodi inaongezeka nchini.
Pia soma hapa Tunduma: Rais Samia Awataka Wafanyabiashara Walipe Kodi na Tozo kuepuka mikopo. Asema Haziendi Kwenye Mifuko ya Viongozi
Kamishna Mkuu wa TRA bwana Yusuf Mwenda amewataka Wafanyabiashara wasirubuniwe na maofisa wachache wahuni wa TRA
====
My Take
Population structure ya Tanzania ni Pyramid in shape, tuna kundi kubwa la Vijana ambao sio wazalishaji Bali wategemezi.👇👇
View: https://www.instagram.com/p/C9mAfWGtK5h/?igsh=bWlvOTgxeDh5OW9q
Hao walipa direct tax wanawapelekea tu hao wanaolipa indirect tax kwa serikali. Maana nikinunua TV kwa 800k mwenye duka ananisaidia tu kupeleka VAT kwa serikali ila mlipaji hasa ni mimi.Direct tax. Kodi ya moja kwa moja. Indirect tax zinalipwa na watanzania wote. Tax base ya direct tax inatakiwa kuongezeka, hii nchi direct tax inalipwa na watu wachache sana.
Indirect tax inalipwa na kila mtu. Kila raia anayefanya manunuzi analipa indirect tax. Huwezi simama ukajitenganisha na wengine kwamba wewe unalipa indirect tax. Hata uliyenunua tv kwake naye anafanya manunuzi. Tumsapoti huyu Yusufu kuongeza wigo wa direct tax.Hao walipa direct tax wanawapelekea tu hao wanaolipa indirect tax kwa serikali. Maana nikinunua TV kwa 800k mwenye duka ananisaidia tu kupeleka VAT kwa serikali ila mlipaji hasa ni mimi.
Msiwabeze sana wanunuzi wa mwisho...
Strategy za kukusanya mapato ziwe inclusive Kwa kurasimisha sekta ambazo bado hazijarasimishwa kama udalali wa majengo nk lakini jitihada hizo pia ziende sambamba na kuziba mianya ya ubadhirifu wa mapato ya serikali + kuangalia uhalisia , kuweka mifumo mizuri ya kustimulate uchumi , ajira nkOngea kwa takwimu. Kati ya hao M2 na hao wa kariakoo wamo humo? Afisa kaangalia business tin nchi nzima kakuta ni 2m, wewe unasema business tin ni ngapi?
Madali wote na wengine waliopo mjini na mikoani wanaotengeneza fedha na hawana tin au tin zao ni non business Ndo nawazungumzia.
Tengenezeni mazingira ya kukuza vipato vya watanzania, biashara ndogondogo haziwezi kukupa mlipakodi hata ufanyaje.Indirect tax inalipwa na kila mtu. Kila raia anayefanya manunuzi analipa indirect tax. Huwezi simama ukajitenganisha na wengine kwamba wewe unalipa indirect tax. Hata uliyenunua tv kwake naye anafanya manunuzi. Tumsapoti huyu Yusufu kuongeza wigo wa direct tax.
Wigo wa direct tax ukikua, tukapunguza matumizi mabaya ya fedha hizi indirect tax zinaweza kuwa na unafuu.
KOdi zetu hizi
Wameenda na mwendazakeDuuuh si walikuwa milioni 3? Milioni moja wameenda wapi?
Ndio, Yusufu anapaswa kuona ujumbe huu. Huo mpango wake isiwe ni kuwachukua hoe hae walipe kodi rasmi bali uwe ni kurasimisha sekta zenye vipato na kuongeza usajili wa makampuni yenye uwezo wa kuajiri.Tengenezeni mazingira ya kukuza vipato vya watanzania, biashara ndogondogo haziwezi kukupa mlipakodi hata ufanyaje.
Chizi anapotaka kusapoti ujinga ....ww unamjaza mameno kamishina yy kasema watanzania wanao lipa kodi ni m 2 tu sasa sisi tunahoji hizi kodi za kwenye luku,miamala,mafuta ya magati na bidhaa zote sio kodi ??Huyo ni msomi na kapewa ofsi ya serikali kuisimamia anatakiwa aeleze vitu kisomi.Sasa kama mm tu wa la tatu b nimeona huyo kamishina katulisha uongo ww unatetea nn.Hii nchi ccm itatawala sana sababu ya elimu yetu. Hivi kweli mkuu huelewi anachomaanisha mpaka unamuita mpumbavu? Hujui kwamba tax base ya direct tax inapoongezeka ndo ahueni kwa masikini wanaolipa indirect tax?
We unaambiwa kati ya watu M60 ni M2 tu ndo walipaji wa direct tax, hapo huoni tatizo, unaona anayetaka kutatua hilo tatizo ni mpumbavu, hizo indirect tax zinazolipwa na hoehae zinafutikaje bila kuongeza idadi ya walipakodi wanaolipa direct tax?
Huyu unayemuita mpumbavu akifanikiwa kurasimisha biashara zisizo rasmi kama madalali wa mazao ambao wanapata fedha kudalalia mazao, washereheshaji ambao kila weekend wanapata kazi, watu wa mission town ambao kila siku hapa mjini wanapiga pesa na hawana hata tin number, akifanikiwa kuoneza makampuni PAYE na SDL zikaongezeka, unaona kabisa hilo ni wazo la kipumbavu?
SAMIA ONGEZA TOZO.
Unajua kuwa ccm walipora mali nyingi sana ikiwemo maeneo, viwanja nk ambavyo ni mali za serikali? Watu wamelalamika miaka mingi hizi mali zirejeshwe kwa umma kwa sababu walipora, wewe unasema mali za ccm.Hizo ni Mali za ccm wananunua Kwa miradi Yao shida Iko wapi?
Ww wa drs la 3B umemwelewa tofauti na mm wa drs la 2C hivyo kila mtu lazima atatoa maoni kutokana na alivyoelewa.Chizi anapotaka kusapoti ujinga ....ww unamjaza mameno kamishina yy kasema watanzania wanao lipa kodi ni m 2 tu sasa sisi tunahoji hizi kodi za kwenye luku,miamala,mafuta ya magati na bidhaa zote sio kodi ??Huyo ni msomi na kapewa ofsi ya serikali kuisimamia anatakiwa aeleze vitu kisomi.Sasa kama mm tu wa la tatu b nimeona huyo kamishina katulisha uongo ww unatetea nn.
Huoni sasa huyo msomi wetu ametupoteza maana anatakiwa aeleze kwa lugha rahisi kila mtanzania aelewe.Ww wa drs la 3B umemwelewa tofauti na mm wa drs la 2C hivyo kila mtu lazima atatoa maoni kutokana na alivyoelewa.