Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Hahaha, basi Tumtukane tu ili aje akutwe na B7 chumbani.Huoni sasa huyo msomi wetu ametupoteza maana anatakiwa aeleze kwa lugha rahisi kila mtanzania aelewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha, basi Tumtukane tu ili aje akutwe na B7 chumbani.Huoni sasa huyo msomi wetu ametupoteza maana anatakiwa aeleze kwa lugha rahisi kila mtanzania aelewe.
Lipa kodi acha porojoLabda angesema direct tax ila indirect tax tunalipa wote mfano kwenye luku kila mtu anakatwa kodi, kununua bando la simu unakatwa kodi, kununua soda unakatwa kodi maana VAT ni shift able na tunaoilipa ni watumiaji wote wa mwisho.
So direct tax wanalipa million 2 ila indirect tax wanalipa zaidi ya million 30.
Kingine watu million 62 hawazalishi, mind you zaidi ya 50% ya waTanzania ni under 18 yaani watoto. So ilipaswa takwimu zake ziwe kwenye labor kwamba watu wangapi wanaozalisha hawalipi kodi. Utakuta wenye kazi au biashara ni million 10 pekee so takwimu zinakua tofauti na ukitoa general population
Hakuna ukweli wowote hapo.
ukinunua vitu sokoni unalipa VAT pia mkuu?Hakuna ukweli wowote hapo.
Kila mTz asiye na ajira rasmi analipa kodi indirect kupitia Vat.
Wafanya kazi na wafanya biashara wakubwa utaratibu unaeleweka.
Kwa kodi inayotokana na kipato cha mtu ni sahihi.
Sasa wewe uko wapi? au uko pote? Au hauko kokote?Kuna mtu asielipa kodi huyu jamaa anatuchukuliaje aisee anatuona sisi mazuzu. Hajui kama kuna direct na indirect tax.
Mimi nipo kote direct na indirect tax zinanihusu.Sasa wewe uko wapi? au uko pote? Au hauko kokote?
Nahisi amenukuliwa vibaya, au clouds hawajamuelewa vizuri hapo kwenye idadi ya walipa kodiNamuunga mkono Yusufu. Apambane kuongeza wigo wa walipa kodi za moja kwa moja(Direct tax), Tukiwa wengi, lets say hata 15M uwezekano wa kupunguza kodi kama za VAT na matozo tozo kwenye bidhaa inawezekana.
Hakuna sababu bibi kizee wa miaka 80 kwenda kununua mkate wa kunywea chai alipie 18% ya kodi kwenye mkate na vijana wapo mtaani wanapiga udalali wa majengo na kodi hawalipi.
Yusufu atafute mfumo, wote ambao anaweza kuwarasimisha awarasimishe. Wenye nguvu tulipe kodi. Atengeneze mazingira mazuri ya kikodi kwa makampuni mapya ya wazawa, vijana waajirike. Nchi ina fursa hii, watawala wakiacha tamaa za kujilimbikizia mali, nguvu ikaelekezwa kwenye nguvu kazi na masoko,tozo na VAT zinaweza kuwa chini sana.
Hao wengi ni wangapi? Wako wapi? Maana unasema tu wengi bila kusema ni ngapi na wako wapiSio kweli Watz wengi wanalipa kodi (VAT) kupitia manunuzi ya bidhaa mbalimbali wanazotumia majumbani mwao. Pia wanalipa kupitia mitandao ya simu wanazotumia, Luku (Property tax). Huyu anajaribu kutupanga sasa akishindwa kukusanya VAT kutoka kwa wafanyabiasha wakubwa ambao hawapeleki makusanyo ya VAT iliyolipwa na watz. Hivyo kusema eti watz 2 million ndio wanaolipa kodi tu ni uongo wa wazi kabisa. Huduma nyingi zitolewazo kwa watz zinalipiwa kodi kwa njia moja ama nyingine.
Wataasisi nyingine hawafikio hiyo milioni Moja...Msiwe wabishi bila sababuNahisi amenukuliwa vibaya, au clouds hawajamuelewa vizuri hapo kwenye idadi ya walipa kodi
Sababu wafanyakazi tu wa serikali wapo almost laki 6, Sasa kweli waajiriwa wa taasisi au makampuni binafsi Tanzania hii wapo milion 1.4? Na bado kuna wafanyabiashara hujajumuisha
Hiyo walipa kodi direct kuwa miliion 2 ni kitu hakiwezekani, ni namba ndogo sana ambayo waajiriwa tu wameipita.
Nadhani takwimu halisi walizowahi zitoa kabla ni M3.Nahisi amenukuliwa vibaya, au clouds hawajamuelewa vizuri hapo kwenye idadi ya walipa kodi
Sababu wafanyakazi tu wa serikali wapo almost laki 6, Sasa kweli waajiriwa wa taasisi au makampuni binafsi Tanzania hii wapo milion 1.4? Na bado kuna wafanyabiashara hujajumuisha
Hiyo walipa kodi direct kuwa miliion 2 ni kitu hakiwezekani, ni namba ndogo sana ambayo waajiriwa tu wameipita.
Labda mizigo yaoAisee,Sasa wale Wanasiasa wanaotoa matamko ya kuwaruhusu machinga kupanga bidhaa zao katika Barbara za miji huku wakijuwa hawalipi Kodi,maslahi Yao Huwa ni nini ?
Jumla ya waajiriwa sekta binafsi ni chini ya mil 1.4?Wataasisi nyingine hawafikio hiyo milioni Moja...Msiwe wabishi bila sababu
Inawezekana, ngoja nitafute namba ya waajiriwa sekta binafsiNadhani takwimu halisi walizowahi zitoa kabla ni M3.
Sawa mkuuInawezekana, ngoja nitafute namba ya waajiriwa sekta binafsi
Okay!....kama alimaanisha hivyo yupo sawa kabisa.Direct tax. Kodi ya moja kwa moja. Indirect tax zinalipwa na watanzania wote. Tax base ya direct tax inatakiwa kuongezeka, hii nchi direct tax inalipwa na watu wachache sana.