Yusuph Mwenda: Kati ya watanzania Milioni 62, wanaolipa kodi ni Milioni 2 tu

Yusuph Mwenda: Kati ya watanzania Milioni 62, wanaolipa kodi ni Milioni 2 tu

Labda angesema direct tax ila indirect tax tunalipa wote mfano kwenye luku kila mtu anakatwa kodi, kununua bando la simu unakatwa kodi, kununua soda unakatwa kodi maana VAT ni shift able na tunaoilipa ni watumiaji wote wa mwisho.

So direct tax wanalipa million 2 ila indirect tax wanalipa zaidi ya million 30.

Kingine watu million 62 hawazalishi, mind you zaidi ya 50% ya waTanzania ni under 18 yaani watoto. So ilipaswa takwimu zake ziwe kwenye labor kwamba watu wangapi wanaozalisha hawalipi kodi. Utakuta wenye kazi au biashara ni million 10 pekee so takwimu zinakua tofauti na ukitoa general population
Lipa kodi acha porojo
 
1721395070966.jpeg
 
Namuunga mkono Yusufu. Apambane kuongeza wigo wa walipa kodi za moja kwa moja(Direct tax), Tukiwa wengi, lets say hata 15M uwezekano wa kupunguza kodi kama za VAT na matozo tozo kwenye bidhaa inawezekana.

Hakuna sababu bibi kizee wa miaka 80 kwenda kununua mkate wa kunywea chai alipie 18% ya kodi kwenye mkate na vijana wapo mtaani wanapiga udalali wa majengo na kodi hawalipi.

Yusufu atafute mfumo, wote ambao anaweza kuwarasimisha awarasimishe. Wenye nguvu tulipe kodi. Atengeneze mazingira mazuri ya kikodi kwa makampuni mapya ya wazawa, vijana waajirike. Nchi ina fursa hii, watawala wakiacha tamaa za kujilimbikizia mali, nguvu ikaelekezwa kwenye nguvu kazi na masoko,tozo na VAT zinaweza kuwa chini sana.
Nahisi amenukuliwa vibaya, au clouds hawajamuelewa vizuri hapo kwenye idadi ya walipa kodi
Sababu wafanyakazi tu wa serikali wapo almost laki 6, Sasa kweli waajiriwa wa taasisi au makampuni binafsi Tanzania hii wapo milion 1.4? Na bado kuna wafanyabiashara hujajumuisha
Hiyo walipa kodi direct kuwa miliion 2 ni kitu hakiwezekani, ni namba ndogo sana ambayo waajiriwa tu wameipita.
 
Sio kweli Watz wengi wanalipa kodi (VAT) kupitia manunuzi ya bidhaa mbalimbali wanazotumia majumbani mwao. Pia wanalipa kupitia mitandao ya simu wanazotumia, Luku (Property tax). Huyu anajaribu kutupanga sasa akishindwa kukusanya VAT kutoka kwa wafanyabiasha wakubwa ambao hawapeleki makusanyo ya VAT iliyolipwa na watz. Hivyo kusema eti watz 2 million ndio wanaolipa kodi tu ni uongo wa wazi kabisa. Huduma nyingi zitolewazo kwa watz zinalipiwa kodi kwa njia moja ama nyingine.
Hao wengi ni wangapi? Wako wapi? Maana unasema tu wengi bila kusema ni ngapi na wako wapi
 
Nahisi amenukuliwa vibaya, au clouds hawajamuelewa vizuri hapo kwenye idadi ya walipa kodi
Sababu wafanyakazi tu wa serikali wapo almost laki 6, Sasa kweli waajiriwa wa taasisi au makampuni binafsi Tanzania hii wapo milion 1.4? Na bado kuna wafanyabiashara hujajumuisha
Hiyo walipa kodi direct kuwa miliion 2 ni kitu hakiwezekani, ni namba ndogo sana ambayo waajiriwa tu wameipita.
Wataasisi nyingine hawafikio hiyo milioni Moja...Msiwe wabishi bila sababu
 
Nahisi amenukuliwa vibaya, au clouds hawajamuelewa vizuri hapo kwenye idadi ya walipa kodi
Sababu wafanyakazi tu wa serikali wapo almost laki 6, Sasa kweli waajiriwa wa taasisi au makampuni binafsi Tanzania hii wapo milion 1.4? Na bado kuna wafanyabiashara hujajumuisha
Hiyo walipa kodi direct kuwa miliion 2 ni kitu hakiwezekani, ni namba ndogo sana ambayo waajiriwa tu wameipita.
Nadhani takwimu halisi walizowahi zitoa kabla ni M3.
 
Back
Top Bottom