Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Yusuph Mwenda amesema Tanzania yenye idadi ya watu zaidi ya milioni 60 lakini walipa kodi hawazidi watu milioni 2 jambo ambalo linasababisha watu hao wachache wanaolipa kodi kulazimika kubeba mzigo mkubwa
Kwa hiyo huyo kamishna anamaanisha katika watanzania mil 62, wote wana sifa ya kulipa kodi ikiwemo watoto, wazee, watu wasiojiweza n.k?...