Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Nadhani hizo ni Kama zile mpya za Dar Express,noma sana aisee.Afu kuna scania mpya hizo za kampuni ya musoma express ni shida yan zinafanya kazi musoma to kahama via shinyanga ni shida hizo ase